Shallow analysis of issues. je wanaopigwa risas na watu wake?Hakuna binadamu asiye na huruma kusema kweli Magufuli ana huruma kwenye mikutano yake yote anayofanya,hakuna mwananchi aliye mlilia shida akamwngusha hayupo.
Shallow analysis of issues. je wanaopigwa risas na watu wake?Hakuna binadamu asiye na huruma kusema kweli Magufuli ana huruma kwenye mikutano yake yote anayofanya,hakuna mwananchi aliye mlilia shida akamwngusha hayupo.
Umefuka moshi kiongozi.... Kwenye hili wewe ndo hauko sawa....Hauko sawa kichwani, mgonjwa kupona au kufa ni mapenzi ya Mungu, siyo ya daktari au binadamu yeyote
Bima ya afya ipo, ila wanaoteseka kwenye matibabu katika hospitali zetu ni hao wenye bima za afya. Ukiwa na bima ya afya hata huduma unapata kwa shida mno. Anayeangaliwa vyema ni mwenye fedha cash kwanza. Kumbuka gharama za matibabu ni kubwa kiasi kwamba hata hiyo bima inavuka. Ila ukisikia kwenye majukwaa ya siasa yaliyojaa propaganda, unaweza ukatamani uumwe ili uende hospitali na ww ukaonje keki ya taifa.
Cha muhimu mbali ya hiyo bima ya afya ambayo ni jambo jema, ni vyema kushusha gharama za matibabu, wangalau kunaweza kusaidia. Maana kwa huu ugumu wa maisha ukipata mgonjwa anayekuhusu inakuwa kama kupaka chumvi kwenye kidonda. Tatizo kubwa kwenye hili jambo, watunga sera hawaishi maisha halisi kwani wengi vipato vyao vinazidi milioni moja kwa mwezi, hivyo wanamudu hata gharama za juu. Kwa vyovyote hawawezi kulipa uzito unaostahili.
Kutunza mwili usioze ni gharama kubwaKweli kabisa, mimi binafsi huwa najiuliza sana hivi unawezaje kumchaji maiti au unataka kuongeza maumivu na majonzi kwa wafiwa? Hili lazima liangaliwe upya na sio maiti tu hata gharama za matibabu zishushwe kabisa mahospitalini maana watu wengi wanafia mahospitalini kwa sababu ya gharama kubwa za matibabu. Serikali ambayo ina dhamana juu ya wananchi wake na inasifika kwa usikivu iliangalie upya hili badala ya kuongeza nguvu katika ujenzi wa miundombinu na vitu vingine nguvu kubwa iwekwe kwenye afya za wananchi na chakula pia na sekta ya elimu.
Magu msanii kupita Steve Nyerere
Nakupuuza nimekosa nikuambie Neno gani,sasa gharama zitashuka vipi wakati serikali inachota hela za kwenye bajeti ya afya inaenda kununulia bombardiers hospitals zinaachwa tupu, hivyo inazilazimu kukamuwa wagojwa na ndugu zao ili angarau ziendelea kuwa wazi.
Na mm nimewaza hivyo hivyo, wale walinzi mbona wanakuwaga wakali sana hawataki mtu apite mbele ya rais, sasa yule mama alitoka wapiHao walinzi walimuacha huyo mama wakati wanajua rais anapita? Kama hawakumpanga basi wana hatarisha usalama wa rais, kama angekuwa amejitoa mhanga je?
CCM B acheni kucheza na akili za watu.
Napo huduma zake ni za ovyo hd utaijutia hela yakoBima ya sh 30,000 inafika muhimbili? nijuavyo inaishia hospital za wilayani.
Sasa unajinadi auHali ni mbaya na ngumu sana kila sehemu, hakuna cha kujivunia hapo.
Nilimlipia mgonjwa milion 2. Ambaye hana uwezo hata wa elfu 10 tu. anatokea kijijini kwetu.
Walibaki na mgonjwa kama mfungwa hapo mpaka wapate hela walioitaja. Nilimhurumia sana.
Nchi imekua ya hovyo sana hii kwa sasa.
Wewe mbona una màtatizo sana au akili yako ndio ndogo?? Kwan izo si ni kodi zetu mm na wewe?? Pole ya nn apo??Pole sana mh.Rais
Watafuta kk hao, na kama imemgusa sana na achangie yy mwanzo mwisho, hasipende sifa kupitia migongo ya watu wengineTeh ndio huyu wakili msomi wao akaja na kihoja hiki ?
Huku kujipendekeza sijui kunawasaidia nini
Yaani unapeleka feni baharini ?
View attachment 1178703
Planned eventNaombeni muangalie hiyo clip kwa nguvu zenu zote halafu mtafakari then mje na majibu nini mmeelewa hapo