Hakuna binadamu asiye na huruma kusema kweli Magufuli ana huruma kwenye mikutano yake yote anayofanya,hakuna mwananchi aliye mlilia shida akamwngusha hayupo.
Hivi umeshawahi kujiuliza gharama za hospitali zote za serikali zinatoka wapi? Kuanzia kununua madawa, gharama za kiofisi hadi kulipa mishahara ya wahudumu wote? Au mnadhani hela za hazina hua zinashuka koyoka mpinguni?sasa gharama zitashuka vipi wakati serikali inachota hela za kwenye bajeti ya afya inaenda kununulia bombardiers hospitals zinaachwa tupu, hivyo inazilazimu kukamuwa wagojwa na ndugu zao ili angarau ziendelea kuwa wazi.
Teh ndio huyu wakili msomi wao akaja na kihoja hiki ?
Huku kujipendekeza sijui kunawasaidia nini
Yaani unapeleka feni baharini ?
View attachment 1178703
Hakuna binadamu asiye na huruma kusema kweli Magufuli ana huruma kwenye mikutano yake yote anayofanya,hakuna mwananchi aliye mlilia shida akamwngusha hayupo.
Team PraiseTunabahati kupata Rais km magufuli
Long live His Excellency...
msisitizo uwe kwenye bima ya afya kwa kila mtu...
Tukio limetengenezwa
Hela ya kula ni mtihani .hiyo ya bima tutaweza kweli....usiongee tu kwa sababu y unafikimsisitizo uwe kwenye bima ya afya kwa kila mtu...
Hao walinzi walimuacha huyo mama wakati wanajua rais anapita? Kama hawakumpanga basi wana hatarisha usalama wa rais, kama angekuwa amejitoa mhanga je?Hilo la kutengeneza hilo tukio kwa huyo jamaa ni mambo ya kawaida. Zaidi ya 95% ya hao watu wanaojifanya kumlilia huyo jamaa kisha kujifanya anatatua tatizo husika huwa ni mambo ya kupanga.
Bima ya sh 30,000 inafika muhimbili? nijuavyo inaishia hospital za wilayani.Mimi nasikia kila siku wananchi wanaambiwa kuchangia bima za familia lakin tujiulize kwanini hawajiungi ile elfu 30