*"King Majuto alikuwa kielelezo cha safari ndefu ya sanaa kwa nchi yetu, kwa muda wote amedhihirisha kipaji, ujuzi na uwezo wa hali ya juu katika uigizaji na uchekeshaji na hivyo kuwa kipenzi cha Watanzania na wasanii wenzake, hatutasahau ucheshi wake, upendo na uzalendo kwa nchi yake wakati wote wa uhai wake"*
- Mhe. *Dkt. John Magufuli*, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
- Mhe. *Dkt. John Magufuli*, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.