Rais Magufuli amjulia hali Charles Kitwanga aliyelazwa Muhimbili

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,616
141,447
Rais Magufuli leo amemtembelea mbunge wa Misungwi mh Kitwanga aliyelazwa katika hospitali ya taifa Muhimbili.
Madaktari wamemueleza Rais Magufuli kuwa mh Kitwanga alilazwa hospitalini hapo tarehe 31/1/2019 na kwamba kwa sasa hali yake inaendelea vizuri.

Rais Magufuli alishiriki sala fupi ya kumuombea mh Kitwanga hapo hapo hospitali

Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
 
Kiukweli, Mh. Rais Magufuli ana moyo wa kipekee kabisa, kwenye shida kubwa kama ugonjwa yaani ataacha tofauti zote na kuja kukusalimia.. Dah, Mh. Rais, Mungu akulinde aisee
nan kakuambia wanatofauti,,..kama hujui kitwanga na rais magufuli hawajakutana barabarani
.hao ni washkaji wa shida na matatizo..kumtumbua it was a strategic plan
 
Rais Magufuli leo amemtembelea mbunge wa Misungwi mh Kitwanga aliyelazwa katika hospitali ya taifa Muhimbili.
Madaktari wamemueleza Rais Magufuli kuwa mh Kitwanga alilazwa hospitalini hapo tarehe 31/1/2019 na kwamba kwa sasa hali yake inaendelea vizuri.

Rais Magufuli alishiriki sala fupi ya kumuombea mh Kitwanga hapo hapo hospitali

Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Kwani kitwanga ni CHADEMA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu. Ampe Afya ndg Kitwanga. Hongera Ndg Rais kwa kumjulia ali komredi kitwanga.
Aisee, rais ana roho nzuri!
Kiukweli, Mh. Rais Magufuli ana moyo wa kipekee kabisa, kwenye shida kubwa kama ugonjwa yaani ataacha tofauti zote na kuja kukusalimia.. Dah, Mh. Rais, Mungu akulinde aisee
Naunga mkono hoja, kuhusu moyo huo wa kipekee.

Kuna magonjwa yanaitwa psychosomatic diseases, yanasababishwa na usongo wa mawazo, mfano mtu mwenye uchovu, fatigue, akizungumza huku amesimama hupepesuka na kuongea kama amelewa, ukitokea mtu kama huyo kutumbuliwa papo kwa papo na kuelezwa ni mlevi, kunasababisha psychosomatic diseases. Sasa unapokuja kutembelewa na aliyekusababishia kuumwa, unafarijika sana na unapona kwa haraka, kwa sababu hata wachawi huwa wanahudhuria misiba ya kazi zao na kuwafariji wafiwa.

Get well soon Mawe Matatu.
P
 
Back
Top Bottom