Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,191
- 2,460
Angesubiria hatua za kinidhamu zikamilike ili nayeye apewe haki ya kusikilizwa halafu maamuzi yafanyike,Jafo alikuwa sahihi katika hili.
Vinginevyo hio itakuwa mihemko ya kuelekea Uchaguzi.
Kwanza inahisiwa hata mtu mwenyewe hakuwa katika akili timamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Magu kila muda unavyosonga Mzee wangu anazidi kupoteza Nidhamu za kiutendaji,2020 inamchanganya sana.