tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,114
Katika pita pita ya hapa na pale nimekutana na twiti ya mtu mmoja akiwa amemnukuu rais wetu JPM akimsifia mseven kuwa kama nyerere baba wa Taifa letu. Heshima aliyo nayo nyerere kwa watanzania walio wengi ni kubwa sana. Sijui kama wana JF tunakubaliana na hoja hii kwamba tukimwona Mseven tuwe kama tumemwona nyerere.
Hii kauli angekua ameongea raia wa kawaida binafsi ningemwambia atuombe radhi watanzania. Nyerere kumfananisha na watu wa ajabu ajabu si sawa. Ila kwa vile kaongea raia namba moja. Ngoja niweke akiba ya maneno ila nimekelwa sana ila sina namna kuwakilisha hisia zangu kwa ninavyo mfahamu Mseven harafu nimfananishe na Mwalimu Nyerere
Hii kauli angekua ameongea raia wa kawaida binafsi ningemwambia atuombe radhi watanzania. Nyerere kumfananisha na watu wa ajabu ajabu si sawa. Ila kwa vile kaongea raia namba moja. Ngoja niweke akiba ya maneno ila nimekelwa sana ila sina namna kuwakilisha hisia zangu kwa ninavyo mfahamu Mseven harafu nimfananishe na Mwalimu Nyerere