likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,072
ITAKUWA MUBASHARA?
Lowassa kugombea urais kwa tiketi ya ukawa!Upi haukufanyika kiweledi?
Mkuu ungejua muundo wa serikali ungeona kuwa igp yuko chini ya waziri wa mambo ya ndani,na balozi yupo chini ya waziri wa mambo ya nje.
Hivyo hakuna kilichoharibika hapo.
Zamani kidogo mwalimu nyerere alimshusha cheo mzee kawawa kutoka waziri mkuu na makamu wa pili wa rais,kuwa waziri wa ulinzi,tena kibaya zaidi mwalimu alimwambia kawawa kuwa anataka kumbadilisha,yeye kawawa anaona mtu gani anafaa kwa kazi.
Mzee kawawa bila kinyongo akampendeza sokoine kwenye nafasi yake.Hivyo inategemea wewe unaichukuliaje hiyo changamoto mpya.
Kwani IGP ni cheo? Jifunze tofauti iliyopo kati ya cheo na wadhifa na kati ya hayo mawili kipi ni haki ya mtumishi na kipi ni hiari ya mwenye mamlaka ya uteuzi.Hongera zake ila ningekuwa mimi mangu ningekataa maana hiyo kazi na cheo alichokuwa nacho ni dharau kubwa sana
Ok nimekuelewaKwani IGP ni cheo? Jifunze tofauti iliyopo kati ya cheo na wadhifa na kati ya hayo mawili kipi ni haki ya mtumishi na kipi ni hiari ya mwenye mamlaka ya uteuzi.
Shimbo alishastahafu jeshi,ila Mangu bado ajastaafuAkina abdurahman shimbo aliyekuwa mnadhimu mkuu wa jeshi kapewa ubalozi ,vp huyo major jenerali amedhalilishwa nae sembuse igp
.
Unavyoona igp ndio cheo kikubwa ,halafu hawa waliohudumu vyombo vya ulinzi na usalama huteuliwa sana kuwa mabalozi ujasusi unahusika
Hajashushwa hadhi
Akina abdurahman shimbo aliyekuwa mnadhimu mkuu wa jeshi kapewa ubalozi ,vp huyo major jenerali amedhalilishwa nae sembuse igp
.
Unavyoona igp ndio cheo kikubwa ,halafu hawa waliohudumu vyombo vya ulinzi na usalama huteuliwa sana kuwa mabalozi ujasusi unahusika
Hajashushwa hadhi
Igp na Balozi mkubwa nani?
Akina abdurahman shimbo aliyekuwa mnadhimu mkuu wa jeshi kapewa ubalozi ,vp huyo major jenerali amedhalilishwa nae sembuse igp
.
Unavyoona igp ndio cheo kikubwa ,halafu hawa waliohudumu vyombo vya ulinzi na usalama huteuliwa sana kuwa mabalozi ujasusi unahusika
Hajashushwa hadhi
Masahihisho kidogoMh. Dr.Ahmed salim alipewa ubalozi wa Tz huko Misri akiwa na miaka 26,so it is possible mkuu.
.Mimi nashindwa kuelewa pale wastaafu kama huyo Meja Jenerali kupata tena ajira ktk utumishi wa umma kama Ubalozi. Tunalia kuwa hakuna ajira na maelfu ya vijana hawana kazi, anachukuliwa mtu aliyefanya kazi miaka 20 na zaidi na kustaafu kwa lazima anapofikisha miaka 60 halafu unamuajiri tena wakati alipaswa kupumzika na kula pensheni yake.
Ktk hali bado watawala wanategemea kuwa vijana wataendelea kuwaunga mkono wakati nafasi zao za ajira wanapewa babu zao?
Vv
muache akatae kama ataka kufa na njaaHongera zake ila ningekuwa mimi mangu ningekataa maana hiyo kazi na cheo alichokuwa nacho ni dharau kubwa sana
Ok. Kwa maana hiyo tukubali kuwa hatuwaandai vijana wetu kuwa responsible kwao wenyewe na kwa taifa. Hao wastaafu tunaowang'ang'ania ni wazi kuwa waliandaliwa. Tunawaandaa zaidi vijana kuwa makada na watetezi wa siasa za hovyo za vyama vyetu vya siasa na kuwafanya nyumbu wa kutetea kila jambo hata la kipuuzi kwa sababu tu limesemwa na kiongpzi au limesemwa na chama chao cha siasa..
mkuu kna vitu vingne inabidi tukubali vipo beyond our thinking capacity km haupo ''inside'', leo kijana umpe hicho cheo ni kumtaftia mabalaa na kujtakia kuichafua nchi, hao hawaendi kushnda kusoma magazet km weng wanavyosema, 'intelligence' issue hizi mkuu
Mangu Kwenda Rwanda Kuna Kitu Kimeandaliwa
Ukitizama Kwa Jicho La Tatu Utagundua Wanao Kalibia Ku Stuf Walio Katika Nyanja Za Ulinzi Na Usalama Wa Nchi Kabla Ya Kustafu Au Baada Wanapewa Baloz
Kwa Maana Nyingine Wawe Kama Mashushu
Daah 22 yrs kwa kijana wa sasa hivi anakua anajua habari za Zari,Mange na kubet full stop.Masahihisho kidogo
Dr.salim aliteuliwa kuwa balozi wa misri akiwa kijana mdogo wa miaka 22 tu (1964).
Ila zama na watu wamebadilika vijana wa sasa hivi mtihani kweli tazama tu viongozi wetu hasa vijana wanavyo vurunda na kufanya kazi pasipo na weledi na umakini.
Mbona Dr. Salim alipewa ubalozi akiwa na miaka 22 tu..
mkuu kna vitu vingne inabidi tukubali vipo beyond our thinking capacity km haupo ''inside'', leo kijana umpe hicho cheo ni kumtaftia mabalaa na kujtakia kuichafua nchi, hao hawaendi kushnda kusoma magazet km weng wanavyosema, 'intelligence' issue hizi mkuu