habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
Hahahaha mkuu si kuna huyo Adam na hawa wanatoshaHivi ikulu huwa hakuna mhuri eeh.
Hahahaha mkuu si kuna huyo Adam na hawa wanatoshaHivi ikulu huwa hakuna mhuri eeh.
Kwenye hotuba moja rais Thabo Mbeki aliwahi kusema "......wakati nasikia kijana wa kitanzania wa miaka 22 anateuliwa kuwa balozi nilishangaa sana na kuona jambo lisilofaa na kudharau sana ila siku nilipokutana kwa mara ya kwanza na kijana huyo (dr.salim ahmed salim) wakati huo akiwa akiwa waziri nilijiona mie mjinga na kuona mtazamo wangu haukua sahihi.Daah 22 yrs kwa kijana wa sasa hivi anakua anajua habari za Zari,Mange na kubet full stop.
Very impressive,unadhani nini kinafanya Kijana wa zamami awe na maono kuliko wa sasa?Kwenye hotuba moja rais Thabo Mbeki aliwahi kusema "......wakati nasikia kijana wa kitanzania wa miaka 22 anateuliwa kuwa balozi nilishangaa sana na kuona jambo lisilofaa na kudharau sana ila siku nilipokutana kwa mara ya kwanza na kijana huyo (dr.salim ahmed salim) wakati huo akiwa akiwa waziri nilijiona mie mjinga na kuona mtazamo wangu haukua sahihi.
Dr salim kwa hakika alistahili kabisa kwa nafasi hiyo ....anamalizia kusema Rais Mbeki......"
Taarifa iliyotolewa leo Jumanne Machi 20, 2018 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi imesema Mkuu wa Jeshi la Polisi wa zamani, IGP Ernest Mangu ataapishwa kuwa balozi wa Tanzania nchini Rwanda na Meja Jenerali mstaafu Simon Mumwi kuwa balozi wa Tanzania huko Russia.
Hafla ya kuapishwa kwa mabalozi hao wateule itafanyika Ikulu Dar es Salaam kuanzia saa 5 asubuhi.