tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Wana Iringa mjiandae na ujio wa Rais Magufuli kwa ziara ya siku kadhaa akiwa anatokea Arusha ambako yuko mpaka leo.
Rais ameyasema hayo muda huu akiwa anatoa hotuba yake kanisani baada ya kusimikwa kwa Askofu Aman Massawe.
Naona ziara za mikoa ya nyanda za juu kusini zimeanza kwa Mheshimiwa Rais
Rais ameyasema hayo muda huu akiwa anatoa hotuba yake kanisani baada ya kusimikwa kwa Askofu Aman Massawe.
Naona ziara za mikoa ya nyanda za juu kusini zimeanza kwa Mheshimiwa Rais