Mugo wa kibilo
Senior Member
- Oct 13, 2012
- 175
- 72
Rais Magufuli amemteua ndg Valentino Mlowola kuwa NAIBU MKURUGENZI MKUU wa TAKUKURU hapo jana.
Kabla ya Uteuzi, Mlowola alikuwa Kamishna wa Polisi na Mkurugenzi wa Intelijensia ya Makosa ya Jinai ktk Jeshi la Polisi.
Je, Mlowola atamrithi Hoseah?
============
Kabla ya Uteuzi, Mlowola alikuwa Kamishna wa Polisi na Mkurugenzi wa Intelijensia ya Makosa ya Jinai ktk Jeshi la Polisi.
Je, Mlowola atamrithi Hoseah?
============
Rais John P. Magufuli, amemteua Valentino Mlowola, kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, kuanzia Novemba 23, 2015.
Kabla ya Uteuzi Mlowola alikuwa, ni Kamishna wa Polisi na Mkurugenzi Intelijensia ya Makosa ya Jinai katika Jeshi la Polisi.
Pia Huyu Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU kabla ya kuteuliwa kuwa Kamishna wa Polisi na Mkurugenzi Itelejensia ya Makosa ya Jinai katika Jeshi la Polisi alikuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, alihamishwa kipindi kile cha harakati za Uchaguzi Mkuu 2015.
-Maamuzi hayo yamekuja baada ya Deputy Director wa awali Lilian Mashaka kuwa Judge, hivyo Mlowola amechukua nafasi yake.