Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kwani corona haija kutembelea?
Unafikiri hizi propaganda uchwara zitasaidia chadema kupata kura?
Unafikiri hizi propaganda uchwara zitasaidia chadema kupata kura?
Wewe ndo mjinga
Kati ya wewe, Magufuli na bank ya Dunia Nani anajua Mambo ya kupanda na kushuka kwa uchumi?
Kwani Rais Magufuli ndo katoa taarifa ya Tanzania kufikia uchumi wa Kati au ka qoute taarifa kutoka kwa WB?
Kijana Acha mihemuko Rais wa nchi hawezi kutweet Uongo Tena kuhusu bank ya Dunia kabisa alichokiandika ndo sahihi nayeye kafanya kuki qoute kutoka kwenye taarifa ya world bank.
Punguza chuki binafsi utakufa mapema.
Kumbe ccm inafanya Kaz vizur Sana et mana kikwete alipiga KazHizi takwimu zinaonyesha Magufuli ana perform below Standards kulinganisha na Kikwete.
Kikwete kila baada ya Mhula Mmoja alikuwa anaipandisha nchi hatua ndefu zaidi kwenye pato la mtu mmoja mmoja, Wakati Magufuli ndani ya miaka yake mitano kapiga hatua ndogo tu.
Sema kwa sababu Kikwete alikuwa amebakisha hatua ndogo sana ili tuingie uchumi wa kati, huyu kaja kaipiga hiyo hatua fupi tu basi sifa zinamwangukia yeye watu na watu hawakumbuki kuwa ni JK aliyekuza pato la nchi hii takriban mara mbili katika kipindi cha utawala wake hadi kuunyemelea huo uchumi wa kati!
Hata hapo tulipo bado tuko nyuma tu.Kumbe ccm inafanya Kaz vizur Sana et mana kikwete alipiga Kaz
Masikini hufahamu hata hiyo GNI inaangaliwa kwa data za mwaka gani? Unakariri tu aibu!
Labda inaogopa.Kwani corona haija kutembelea?
Kumbe ccm inafanya Kaz vizur Sana et mana kikwete alipiga Kaz
na hii pia ai attachDuh! World Bank wanazidiwa umakini na SACCOS ya Mbowe?
Watumie hizo data kamanda!
Kwaio unakubal kikwete alikua Rais bora?Sasa unalinganisha CCM ya Kikwete na CCM ya Magufuli?
Ni mbingu na ardhi.
CCM ya Kikwete ilikuwa inajibu hoja kwa hoja
CCM ya Magufuli wakishindwa kujibu hoja wanafutia leseni magazeti yenye kuchapisha hoja mbadala!
Sisi tunamsifia alietikisa nyavu kwa bao la kideoni,wewe baki na mtu wako alietoa assistMATAGA muwe mnafuatilia muone jinsi Magufuli alivyofeli vibaya kiuchumi. Nampa alama E!
Hii nchi kwa mwaka 2015 2020 hats angepewa MBWA ingefikia hilo pato. Ilikuwa imebaki dola 20 tu na angalia trend inayoenda kutoka mwaka 2000 ndipo utajua kuwa jiwe si lolote.Sisi tunamsifia alietikisa nyavu kwa bao la kideoni,wewe baki na mtu wako alietoa assist
Unajua tofauti ya mkopo na msaada?Kwenye siasa facts don't matter, ni emotions tu.
Headline hapo ni "World Bank wamesema tuko uchumi wa kati", mambo mengi hayo wanajua wasomi tu.
Ni kama tunavyoambiwa kila siku SGR tunajenga na hela zetu, mfuatiliaji anajua sio kweli maana tunaona Waziri wa fedha akitia saini mikopo lakini mwanakijiji huko Shinyanga vijijini mambo hayo hayajui.