Rais Magufuli aiagiza Wizara ya Nishati kumrejesha kazini mara moja aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Dkt. James Mataragio

KUNA UJUHA KAMA KUANDIKA USICHOKIJUA AMENUNULIWA UMEONJA HATA SENTI YAO WAKAKUJIBU WAMENUNULIWA
LOH
Kamongo katika ujuha wake. Kama huna la maana la kuandika kaa kimya badala ya kuonyesha upumbavu wako hadharani.
 
Sikurupuki mie



Serikali ilipiga kimya kabisa kwa kukosa majibu. Serikali iliyojaa madhalimu

KUNA UJUHA KAMA KUANDIKA USICHOKIJUA AMENUNULIWA UMEONJA HATA SENTI YAO WAKAKUJIBU WAMENUNULIWA
LOH
 
Je hakukuwa na Taarifa kwamba miaka takribani 3 alikuwa hayupo kazini? ama mbadala wake ameshindwa kupatikana na ndo maana imeamriwa arudishwe kazini?
Aliondolewa ili uchunguzi ufanyike. sasa imebainika hana kosa tatizo liko wapi? au haujui tofauti ya kufutwa kazi na kupisha uchunguzi???
 
Je hakukuwa na Taarifa kwamba miaka takribani 3 alikuwa hayupo kazini? ama mbadala wake ameshindwa kupatikana na ndo maana imeamriwa arudishwe kazini?
Aliondolewa ili uchunguzi ufanyike. sasa imebainika hana kosa tatizo liko wapi? au haujui tofauti ya kufutwa kazi na kupisha uchunguzi???
 
Ni huyu tu au watu wote waliowasumbua na makesi yao yasiyo na kichwa wala miguu nao watarudishwa kazini? Serikali inaingia hasara sana kwa kusimamisha kazi watu bila sababu ya msingi na kama ulisikia juzi Jaji Mkuu alikuwa akilalamika kwamna unamshika mtu kisha unamuweka ndani miaka mitatu mwisho wa siku mnasemea hana hatia na mshamvurugia mipango yake ya kimaisha kwa maneno ya kusikia yasiyo na ukweli.

Tuliaminishwa mabaya ya Tiagi Masamaki wa TRA lakini mwisho alishinda kesi na akalipwa mafao yake yote akaamua kujistaafu kupisha upepo mbaya, angali aleo TRA imekuwa kama daladala kial siku inabadilisha konda. Kila uchao unasikia kuna CEO mpya
 
Tatizo wala siyo aliyemleta wala aliyemrudisha kazini tatizo lipo kwenye mfumo wetu wa kuajiri na kuteua viongozi,Tukitaka maendeleo lazime tutengeneza mfumo wetu nikimaanisha katiba.
Hamna wa kumlaumu yeyote japo alifukuzwa 2016 na karudishwa 2019 tatizo ni sisi watanzania tunasherekea na kupiga vigelegele pale tunaposikia mwenzetu katumbuliwa bila kujiuliza sababu na kwa nini ?
 
Hii auto correct Mkuu inanipa shida sana kwenye lugha zote mbili hasa nikiwa sina muda wa kuhakikisha nilichoandika kama kiko sawa. Kuna siku tulikuwa tunachat na mrembo humu pm tunaheshimiana sana basi nimeandika neno la Kiswahili liko sawa kabisa nishatuma ndiyo naona ni tusi kubwa sana nikabaki kuomba samahani na mrembo nimuelewa haikuwa shida.
I have never doubted you bro!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kiufupi pssf,nssf,nhc,tba etc wapewe mabosi wenye mind set za biashara na wenye exposure hao watoto wa wakulima sijui wanyonge wafanye kazi zisizo na impacts ya kuathiri uchumi
Usipozalisha matajiri maskini watapunguaje?
Usishangae ya ATCL inayofanya one of the most competitive business in the world lakini CEO wake ni Engineer ambae ana MBA ambayo hajawahi kuitumia tangia azaliwe na ndo amekuja kuanza kujifunza kuitumia ATCL!!
 
Duh!
Elimu yote na opportunity zote hizi unaacha kuja kutumikia nchi yako kinachokupata ni aibu.

Dr. James Mataragio Director, Tanzania Petroleum Development Corporation

My background is as a geoscientist, and I have been one for over 15 years now. I started my career back here in Tanzania. After majoring in geology from the University of Dar es Salaam, I went straight into the mining sector, which was Tanzania’s keynote traditional industry in at that time. A year later, I relocated to Japan to study for my Master’s degree and subsequent to graduation, returned to Tanzania to work for Anglo American plc., a multinational mining corporation.

Shortly afterwards, I was invited to teach at the university here, a role which I fulfilled for less than a year before moving to the US to complete a PhD at the University of Missouri. After receipt of my doctorate, I was offered a job at Bell Geospace, where I spent a decade working on extractive industry projects – initially mining sector focused, then later on oil and gas sector related – across a wide range of countries including Canada, Brazil, Uganda and Kenya.

I’ve always maintained strong ties to my homeland, returning every year and cultivating strong ties both with the ministry and academia. When this position of managing the national oil company was first advertised, it was actually my friends and colleagues who encouraged me to apply for the position.

At first I was hesitant to accept bearing in mind that this would be a very political position and that the hydrocarbons industry is relatively new in Tanzania. At the same time, I was eager to return home and participate actively in the development of my country. In end, I applied and barely six months later found myself being appointed to the role by the president.
Source : http://www.energyboardroom.com/inte...r-tanzania-petroleum-development-corporation/
 
Aliondolewa ili uchunguzi ufanyike. sasa imebainika hana kosa tatizo liko wapi? au haujui tofauti ya kufutwa kazi na kupisha uchunguzi???
Lakini kama ni kweli kwanini imechukua miaka mitatu? Pili ni kwanini unavyosema wewe hapa ni tofauti na kauli ya Mheshimiwa Rais aliyoitua leo Ikulu wakati ana pokea Dhahabu na fedha kutoka Kenya?
 
Back
Top Bottom