Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,407
- 25,926
WichkraftiKheee...!!! Ndo ipi hiyo? Mazingaombwe au...?!!
WichkraftiKheee...!!! Ndo ipi hiyo? Mazingaombwe au...?!!
Afu weweee..!!!Wichkrafti
Mbowe hapaswi kuendelea kuwa mwenyekiti kwa vyama makini. Ile kubadili tu gia angani na kuwakumbatia watu ambao hawana misingi yoyote ya Chama ilimpasa ajihuzuluHivi karibuni imezuka tabia ya kukwepa majukumu ambayo inapaswa kupingwa kwa hali na mali ndani ya nchi yetu.
Vyama vya upinzani hasa CHADEMA kila wanapopata matatizo kisingizio chao ni hayati rais Magufuli,!
CHADEMA wamesambaza mitandaoni vijana wa kumtetea Mbowe.
Kazi yao ni kuwapumbaza wanachama na wananchi kwa ujumla waone tatizo la CHADEMA ni Magufuli wakati Magufuli hayupo na hakuwahi kuongoza chadema . Kila uzi humu JamiiForums lazima vijana wa Mbowe wataje na kutukana mwendazake!
Mwenyekiti na aliyekabidhiwa usukani wa kuiongoza CHADEMA ni Mbowe lakini hawataki aulizwe chochote.!!!
Kutokana na CHADEMA kufa kila mahali kwa kupoteza mvuto na kukimbiwa na madiwani na wabunge ,viongozi wamebuni mbinu ya kukwepa aibu hii kwa kujificha kwa hayati rais Magufuli!
Viongozi wa CHADEMA wakihojiwa kwa nini chama hakina ofisi watakujibu tatizo ni Magufuli.
Tundu Lissu akiulizwa kuwa yeye ni makamu mwenyekiti wa CHADEMA lakini kwa nini hafanyi kazi za Chadema? Bavichaa watakujibu chanzo ni Magufuli!
Bavicha ukiwauliza kwa nini kamati kuu ya CHADEMA wanafanyia vikao vyao kwenye hoteli za kitalii na kuacha ukumbi wa ufipa ? Utajibiwa tatizo ni hayati Magufuli!
CHADEMA wakiulizwa kwa nini kwenye uchaguzi mliwatosa makada wenu waliokipigania chama, mkabadili gia angani na kutuletea mgombea urais ambaye yupo kwenye list of shame (orodha ya chadema ya mafisadi wakuu wa nchi )? Utajibiwa tatizo ni mwendazake!
BAVICHA na vijana wote mliosambazwa mitandaoni kumtetea Mbowe ,tambueni anayepaswa kuulizwa kuhusiana na mabaya na mazuri ya CHADEMA ni Mbowe na Tundu Lissu hao ndio viongozi wenu mliowapa ridhaa ya kuwaongoza kwa sasa.
Hayati Rais Magufuli hakuwahi kuwa kiongozi wa chadema ,hivyo kukaa mnamhusisha na kuporomoka kwa chama chenu ni kupoteza muda na kuonyesha uzwazwa wa hali ya juu.
Kuporomoka kwa CCM wataulizwa Samia na Chongolo na lazima watoe majibu kwa sababu wao ndiyo viongozi wa CCM kwa sasa.
Kwanini nyinyi hamtaki kupata majibu kwa Mbowe badala yake mnataka majibu yatoke kwa Magufuli?
Hiyo PhD imeomdoka na Ben Saa8Magufuli aliwezaje kupata PhD kama Kiingereza kilikuwa hakipandi ?
Alivyopiga simu ?!Clouds 360...
Kama Corona ilivyopita hiviii na MagufuliHiyo PhD imeomdoka na Ben Saa8
Ukishakuwepo? Utafanya nini? Kojoa ulale mataga
Afu mchawi mkuu wakala wa ibilisi alishakufa akazikwa chatoizo chuki zako tu wala hazna faidaaa,,mara nying mtu ikimchukia unajitahd kulazmisha kila kitu chake kionekane kibaya ....kama hajui kitu alifikaje pale?? wew u aejua uko wapii??? wivu ni uchawi
Uwezo wa kukariri ulikuwa sawa sanaMagufuli aliwezaje kupata PhD kama Kiingereza kilikuwa hakipandi ?
Aliulizwa swali na Pascal Mayalla kuhusu kuzuia mikutano ya siasa..
Jibu tunalijua wote.
Vyuo vikuuu vyetu unavijua!??Magufuli aliwezaje kupata PhD kama Kiingereza kilikuwa hakipandi ?
Hahaaahaaaahaaa matagaaaaa !!! Mungu kawapiga hasaHivi karibuni imezuka tabia ya kukwepa majukumu ambayo inapaswa kupingwa kwa hali na mali ndani ya nchi yetu.
Vyama vya upinzani hasa CHADEMA kila wanapopata matatizo kisingizio chao ni hayati rais Magufuli,!
CHADEMA wamesambaza mitandaoni vijana wa kumtetea Mbowe.
Kazi yao ni kuwapumbaza wanachama na wananchi kwa ujumla waone tatizo la CHADEMA ni Magufuli wakati Magufuli hayupo na hakuwahi kuongoza chadema . Kila uzi humu JamiiForums lazima vijana wa Mbowe wataje na kutukana mwendazake!
Mwenyekiti na aliyekabidhiwa usukani wa kuiongoza CHADEMA ni Mbowe lakini hawataki aulizwe chochote.!!!
Kutokana na CHADEMA kufa kila mahali kwa kupoteza mvuto na kukimbiwa na madiwani na wabunge ,viongozi wamebuni mbinu ya kukwepa aibu hii kwa kujificha kwa hayati rais Magufuli!
Viongozi wa CHADEMA wakihojiwa kwa nini chama hakina ofisi watakujibu tatizo ni Magufuli.
Tundu Lissu akiulizwa kuwa yeye ni makamu mwenyekiti wa CHADEMA lakini kwa nini hafanyi kazi za Chadema? Bavichaa watakujibu chanzo ni Magufuli!
Bavicha ukiwauliza kwa nini kamati kuu ya CHADEMA wanafanyia vikao vyao kwenye hoteli za kitalii na kuacha ukumbi wa ufipa ? Utajibiwa tatizo ni hayati Magufuli!
CHADEMA wakiulizwa kwa nini kwenye uchaguzi mliwatosa makada wenu waliokipigania chama, mkabadili gia angani na kutuletea mgombea urais ambaye yupo kwenye list of shame (orodha ya chadema ya mafisadi wakuu wa nchi )? Utajibiwa tatizo ni mwendazake!
BAVICHA na vijana wote mliosambazwa mitandaoni kumtetea Mbowe ,tambueni anayepaswa kuulizwa kuhusiana na mabaya na mazuri ya CHADEMA ni Mbowe na Tundu Lissu hao ndio viongozi wenu mliowapa ridhaa ya kuwaongoza kwa sasa.
Hayati Rais Magufuli hakuwahi kuwa kiongozi wa chadema ,hivyo kukaa mnamhusisha na kuporomoka kwa chama chenu ni kupoteza muda na kuonyesha uzwazwa wa hali ya juu.
Kuporomoka kwa CCM wataulizwa Samia na Chongolo na lazima watoe majibu kwa sababu wao ndiyo viongozi wa CCM kwa sasa.
Kwanini nyinyi hamtaki kupata majibu kwa Mbowe badala yake mnataka majibu yatoke kwa Magufuli?
Kuanzia sasa hivi uko ''under arrest''...amini nakwambiaUkishakuwepo? Utafanya nini? Kojoa ulale mataga
Kusifu na kuabudu Pascal Mayalla alianza baada ya kuitwa na kamati ya nidhamu Dodoma.
Paskali kutoka pale akaanza kusifia , sijui wapimbinya nini baada ya pale
aliyekuambia kuwa Magufuli hakujua kiingereza ni nani?Kama magufuli alipata phd bila kujua kiingereza basi hata mimi naweza kupata Masters bila kwenda chuo
Naomba usome tarehe ya Bandiko hiliKusifu na kuabudu Pascal Mayalla alianza baada ya kuitwa na kamati ya nidhamu Dodoma.
Unatuabisha mkuu PhD za Bongo za Hongo hizo ht Mimi niliyeishia la nne B naweza kupataMagufuli aliwezaje kupata PhD kama Kiingereza kilikuwa hakipandi ?
Bora uwe unakaa kimya tu kaka Pascal yaani kuna muda Matapishi yako huwa yananuka Mwilini mwako mpk majirani tunakuchukia...Naomba usome tarehe ya Bandiko hili
Mkuu Sky Eclat ,
PElections 2015 - Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali Matokeo, Vunja Kambi, Jisalimishe!
Wanabodi, Mimi ni miongoni mwa watu tulijibainisha humu kumuunga mkono kwa dhati, Mwamba wa Kaskazini, Edward Ngoyai Lowassa, na tukaahidi humu akiondolewa kwa mizengwe, hatuta kubali, patachimbika. Kilichotokea ni kweli Edward Ngoyai Lowassa aliondolewa kwa mizegwe, sasa wakati...www.jamiiforums.com
Ila magufuli hata hasingepita pita kwenye madarasa jamaa ni genius na katili tangu kuzaliwa kwakeUnatuabisha mkuu PhD za Bongo za Hongo hizo ht Mimi niliyeishia la nne B naweza kupata