Rais Magufuli aliposema tuna akiba ya fedha za kigeni kuendesha Nchi kwa miezi sita bila kuzalisha hawakuamini, sasa tunaenda mwezi wa tatu

Kwahiyo na Wewe Unataka lockdown ?

Sent using Jamii Forums mobile app
ninachotaka ni Serikali kuwa serious na huu ugonjwa ,
Kwanza waje wakiri wamesakosea na waombe radhi,kwa uzembe wa kuchelewa kufunga mipaka ya nchi
na jamaa aliyechimbo chatoga ajitokeze aje aongoze mapambano hii ni vita amiri jeshi kukimbia vita ni hatari kwa nchi
kawaachia nchi akina bashite na dada ya korona kwenye hii ishu ni shida.
Wengine wanatoa matamko ya kipuudhi tu mara wengine wanachapa wananchi fimbo, mwingine anakurupuka anafunga bar kesho anakurupuka tena anazifungua, mwingine anakurupuka bar ziuze kama take away tu hakuna kunywa,
Mwingine anakurupuka eti bar ziuze kama kawaida ila wamiliki wazingatie umbali wa wateja yaani akili fupi kabisa mmiliki gani wa bar asiyetaka wateja wengi auze bia nyingi .
Bashite anatoa maagizo wananichi wote kuanzia tarehe 20 wavae barakoda, Mikoa mingine Je? nani awape order hiyo.
Basite analazimisha hata barakoda za vitambaa, naibu waziri Dr Ndugulile anaibuka na kusema barakoda za vitambaa hazifai na sio madhubuti kuzuia virusi vya ugonjwa huu
Mwingine anakurupuka kuwatangazia watu wake wawatenge watu wote wanaotoka dar es salaam.
Kimsingi ninataka msimamo dhabiti na mmoja wa Serikali kuhusu namna ya kudhibiti huu ugonjwa ,Sio kila kionozi anakurupuka na lake
Hii tume ya huu ugonjwa iliyopo chini ya Waziri Mkuu ivunjwe imeshindwa kazi.
Iundwe nyingine isimamiwe na Rais mwenyewe,
Serikali ifanye mpango wa kuwanunulia wananchi maskini barakoda bure,
Pia wale wote waisiokuwa na kazi maalumu mijini na ni maskini wajulikane wapatiwe chakula bure na serikali na waambiwe watulie majumbani kwao.
Omba omba wote wakusanywe wawekwe sehemu maalumu wapatiwe huduma zote na serikali hadi ugonjwa utakapokwisa.
Ma bar makumbi ya starehe clubs yafungwe kwa muda, sheree kama harusi kitchen part na magettogether yapiwe marufuku.
Maofisini ukiachilia essential services watumishi waende kwa shift kama idara inawatumishi 10 wiki moja waende watano wiki inayofata waende watano ili kupunguza msongamano maofisini, mfano halmashaurini huko idara za Elimu unakuta kuna watumishi kibao wakati shule zimefungwa hao ikiwezekana wapewe tu likizo.
Kwenye vituo vya daladala wapiga debe wote wakusanywe wapewe chakula au fedha waambiwe waisionekane stendi.
Mabasi yote ya abiria yawe yanafanyiwa fumigation kila asubui kabla ya kuanza kwa kazi na milangoni kuwe na dawa za kunawa za chloride muda wote.
Wananchi wote wanapotoka kwenye public wavae barakoda na waimizwe kunawa mikono mara kwa mara.
Serikali iweke sehemu maalumu za kunawia mikono kwenye maeneo yote ya umma.
hospitali ziboreswe wodi za ICU na zenye ventilators ziongezwe ili ikitokea watu wakizidiwa wapate matibabu,
Maeneo ya kutenga watu wanaoisiwa kwa ajili ya quarantine yaongezwe

Hatua za kuchukua kupiga vita ugonjwa huu ni nyini sana nashangaa serikali imeamua kutumia njia ya kukutuma wewe uje huku mtandaoni kuleta blahblah na pumba za kijinga . Pumbavu sana we jamaa.

Fikisha ujumbe kwa namba moja na namba 2 wajitokeze huko walipo waje waongoze haya mapambano wananci waliwapiia kura wao na sio akina bashite na dada ya korona
 
Rais wetu ni mcha Mungu sana Mkuu

By the way Kiongozi ni jalala mtamsingizia kila kitu

Lkn Rais wetu ni Mzalendo sana anawapenda Wananchi wake

Sent using Jamii Forums mobile app
Lugha hii yafanana sana na ya Bob Astles, aliyekuwa mpambe maarufu na baadae kuwa mshauri wa karibu wa Field Marshal Dr Idd Amin Dada; Conquerer of the British Empire; Winner Victoria Cross, Life President
 
Sipendi vya bure

Sent using Jamii Forums mobile app
Vyabure kivipi Mali ya Uma halafu unasema tena vyabure!
Kwahiyo Noah zetu sisi wanyonge zilienda wapi? au bado wanafanya upembuzi yakinifu?
Usisahau pia wanakijiji tunataka Milions 50 zetu alizo tuahidi.
Wafanyakazi wa serekalini aliahidi utapandisha madaraja,au pesa zimetumika kwenye ujenzi wa madaraja mengine?
Wasome wanauliza ajira ziko wapi?
 
Serkali ipo siriaz
Lkn sijui unazungumzia usrias gani brother

Swala la korona Bado Lipo level ya Waziri Mkuu

Halijafikia level ya kuwa Makomo wa Rais au Rais mwenyewe
ninachotaka ni Serikali kuwa serious na huu ugonjwa ,
Kwanza waje wakiri wamesakosea na waombe radhi,kwa uzembe wa kuchelewa kufunga mipaka ya nchi
na jamaa aliyechimbo chatoga ajitokeze aje aongoze mapambano hii ni vita amiri jeshi kukimbia vita ni hatari kwa nchi
kawaachia nchi akina bashite na dada ya korona kwenye hii ishu ni shida.
Wengine wanatoa matamko ya kipuudhi tu mara wengine wanachapa wananchi fimbo, mwingine anakurupuka anafunga bar kesho anakurupuka tena anazifungua, mwingine anakurupuka bar ziuze kama take away tu hakuna kunywa,
Mwingine anakurupuka eti bar ziuze kama kawaida ila wamiliki wazingatie umbali wa wateja yaani akili fupi kabisa mmiliki gani wa bar asiyetaka wateja wengi auze bia nyingi .
Bashite anatoa maagizo wananichi wote kuanzia tarehe 20 wavae barakoda, Mikoa mingine Je? nani awape order hiyo.
Basite analazimisha hata barakoda za vitambaa, naibu waziri Dr Ndugulile anaibuka na kusema barakoda za vitambaa hazifai na sio madhubuti kuzuia virusi vya ugonjwa huu
Mwingine anakurupuka kuwatangazia watu wake wawatenge watu wote wanaotoka dar es salaam.
Kimsingi ninataka msimamo dhabiti na mmoja wa Serikali kuhusu namna ya kudhibiti huu ugonjwa ,Sio kila kionozi anakurupuka na lake
Hii tume ya huu ugonjwa iliyopo chini ya Waziri Mkuu ivunjwe imeshindwa kazi.
Iundwe nyingine isimamiwe na Rais mwenyewe,
Serikali ifanye mpango wa kuwanunulia wananchi maskini barakoda bure,
Pia wale wote waisiokuwa na kazi maalumu mijini na ni maskini wajulikane wapatiwe chakula bure na serikali na waambiwe watulie majumbani kwao.
Omba omba wote wakusanywe wawekwe sehemu maalumu wapatiwe huduma zote na serikali hadi ugonjwa utakapokwisa.
Ma bar makumbi ya starehe clubs yafungwe kwa muda, sheree kama harusi kitchen part na magettogether yapiwe marufuku.
Maofisini ukiachilia essential services watumishi waende kwa shift kama idara inawatumishi 10 wiki moja waende watano wiki inayofata waende watano ili kupunguza msongamano maofisini, mfano halmashaurini huko idara za Elimu unakuta kuna watumishi kibao wakati shule zimefungwa hao ikiwezekana wapewe tu likizo.
Kwenye vituo vya daladala wapiga debe wote wakusanywe wapewe chakula au fedha waambiwe waisionekane stendi.
Mabasi yote ya abiria yawe yanafanyiwa fumigation kila asubui kabla ya kuanza kwa kazi na milangoni kuwe na dawa za kunawa za chloride muda wote.
Wananchi wote wanapotoka kwenye public wavae barakoda na waimizwe kunawa mikono mara kwa mara.
Serikali iweke sehemu maalumu za kunawia mikono kwenye maeneo yote ya umma.
hospitali ziboreswe wodi za ICU na zenye ventilators ziongezwe ili ikitokea watu wakizidiwa wapate matibabu,
Maeneo ya kutenga watu wanaoisiwa kwa ajili ya quarantine yaongezwe

Hatua za kuchukua kupiga vita ugonjwa huu ni nyini sana nashangaa serikali imeamua kutumia njia ya kukutuma wewe uje huku mtandaoni kuleta blahblah na pumba za kijinga . Pumbavu sana we jamaa.

Fikisha ujumbe kwa namba moja na namba 2 wajitokeze huko walipo waje waongoze haya mapambano wananci waliwapiia kura wao na sio akina bashite na dada ya korona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom