Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,489
- 40,999
Umeanduka nini? Leta hoja ili watu wajadili.Umekimbilia conclusion kama mtoto
1.mpaka sasa hela ya kikwete haijafikiwa
2.tatizo sio value ni interest na conditions
Mikataba ya wachina dunia nzima ni mibaya
Umeangalia issues hizo?
Maana kwa shallow argument kama hizi, hautakuja kumuelewa JPM