Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Sasa maana ya contract ni nini? Sisi tutakubalije ku-sign contract ambayo project costs zitaongezeka kila siku? Usiseme kwa sababu ya kupungua kwa thamani ya shilingi kwa kuwa contractszinasainiwa kwa kutumia gharama katika USD ambayo iko stable.
Kwa hiyo si kweli kwamba tukisha sign contract wachina watakuja kuongeza gharama. Hakuna kitu cha namna hiyo. Na kama kipo kitakuwa na kipengele katika mkataba cha kitu kama gharama zisizotarajiwa zitakavyokubaliwa.
Huwezi kumtetea Magufuli kwa pointi hiyo kwa hili.
Kama uko Tanzania do your home work. Utashangaa sana. Miradi mingi ilikuwa na variations za kufa mtu.
Kwani mambo mengine ya rushwa ambayo yamewahi kutendeka hayakuwa na contracts? Contract is one thing...and managing the execution of the contract well is completely another.
Tujiongeze kidogo. We have been fooled long enough now