Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
Ufukara wa Africa uletwa na mfumo wa uongozi mbaya uliooza yaani MTU mmoja ndio uwaamulia wengi hapa vipaumbele vya watawala huwa sio vipaumbele vya watawaliwa watawala hawajali kuhusu riba bali sifa,uvivu,ubinafsi, ufisadi upigaji na wizi hapa kila MTU mpigaji kuanzia juu hadi Dada wa kazi mtawala uwapiga walipa kodi baba anapiga ofisini analeta nyumbani, mama anapiga anapeleka kwao au kwa mcheps,Dada wa kazi anapiga chenjichenji anapeleka kwao. Halafu utasikia watawala wanawalaumu eti mabeberu awataki tuendelee wamewakaririsha wasomi wetu eti wakawaongopee wanafunzi eti ukoloni mambo Leo ndo kikwazo ili waendelee kupiga.Internal factors ndizo keys za ufukara wetu tuache kuwasingizia wenzetu kwa kushindwa kwetu.Utawala mbovu,rushwa ufisadi na upigaji,ubinafsi, choyo,uvivu,uchawi hivi tumejitengenezea wenyewe tusiwangizie mabeberu, sijui ukoloni mambo Leo mara ohoo mashirika ya kimataifaHuo ndo ukweli, rushwa katika nchi zinazoendelea ni suala mtambuka. Japo ni Muhimu pia kama kiongozi wa nchi kutumia maarifa mengi katika kung'amua upuuzi huo, kwani mwisho wa siku wananchi tutakuangalia wewe /Rais.
Kwa mfano, angalia serikali ya Uganda ilivyo pata tabu kujua ipi reli ya manufaa kwa nchi yake yaan Tanzania, Electric SGR from Diesel SGR Kenya. Pale paliibuka makundi kila mtu na Maelezo yake kumbe kila mtu anampigia chapuo Mteja wake ili 10% iingie na sio nchi kwa Ujumla itanufaikaje na Mradi husika. Hapo ndo utajua waafrika wengi ni viande na wachumia tumbo, uzalendo kushoto.
Sent using Jamii Forums mobile app