Kaa ukijua pia SGR ya kikwete ilikuwa sio ya umeme. Ilikuws ya diesel kama ile ya kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Sitaki kupingana na mtoa maada, japo Kuna video inamuonesha JK Mrisho akihojiwa kuhusiana na Mwenendo mzima wa uongozi wa raisi JPM, Pia akatolea ufafanuzi zaidi juu ya Mradi wa SGR.
Katika maelezo yake yeye alisema "katika uongozi wangu tulipanga tujenge reli ya kisasa ya diesel yaan SGR kama ile ya Kenya, ila namsifu Magufuli kwa kulifanyia utekelezaji wazo letu (Fourth Government) tena kwa kuifanya iwe ya ukisasa zaidi na yenye ufanisi mkubwa kuliko tuliyokua tumepanga siye".
Kwa maelezo hayo unaona jinsi gani JPM kaja na Mradi ule ule ila kivingine. Kwa vyovyote vile kwa kubadili Design ya Mradi ni dhahiri shairi hata viwango vya fedha za uwekezaji zitabadilika tu.
Kwahiyo na Kikwete wewe ndio unakosoa hadharani?Inawezekana, lakini pia usisahau JK Mrisho hawezi kukosoa hadharani, lazimaaongelee hilo suala positively
Kwa hiyo tatizo lilikuwa mkataba sio ufisadi? Hivyo unavyosema huwa vipo kwenye mkataba. Sasa kama Watanzania tunakuwa mapoyoyo wa kukubali kila kinachopendekezwa kwenye mkataba basi hatuna akili.Wewe na magufuli nani alikua kwenye nafasi nzuri ya kunusa ufisadi?
Wachina watakupa mkopo wa B7,watalazimisha kampuni yao ifanye kazi,mradi ukifika kati mnaambiwa gharama zimeongezeka kwa hamtakua na jinsi mnakopa tena,waulizeni kenya walikopa kwa treni inayotumia mafuta ya taa sasa hivi deni limezidi kwa 100%
Magufuli hakusema anaupiga chini kwa sababu za masharti, alisema harufu ya ufisadi.
Upo sahihi mkuu, japo kwa jicho la kiinjinia na kibiashara ndo utajua jinsi gani SGR TZ inatishia maisha ya SGR Kenya hata bado haujaisha, ndo maana nao bado wanaweweseka kutafuta mkopo zaid kuibadili kuwa kama yetu kwani yao haitakua na ushindani kibiashara baada ya kukamilika SGR TZ.Inawezekana, lakini pia usisahau JK Mrisho hawezi kukosoa hadharani, lazimaaongelee hilo suala positively
Mkuu mbona kwenye Bandari Bagamoyo alisema wazi kwa nini aliupiga chini? Kwa nini afiche SGR lakini Bandari Bagamoyo amwage kila kitu?Kauli za Wakubwa hu generalize sana, hapakuwa na haja ya magu kusema pumba zote zilizomo mkatabanini, mikataba ya wachicha mostly huwa ni ya Ki******u sana, jaribu kuchunguzaga, refer mataifa mengi ambayo yalitekelezaga miradi ya kitaifa kupitia Mkopo wa kichina, ni lesson tosha.
Mie sio KIkwete, sasa kwa nini nisikosoe hadharani? Yaani na wewe umeingiliwa na ule ugonjwa wa CCM wa kusema ukisema tatizo hadharani kama barabara mbaya mbugani Ngorongoro unahujumu uchumi?
KWani huna macho?Aliyekwambia hii ya umeme ni nani?
Ha ha ha umenifanya nitanue mbavu kwa kicheko mkuuKwa hiyo tatizo lilikuwa mkataba sio ufisadi? Hivyo unavyosema huwa vipo kwenye mkataba. Sasa kama Watanzania tunakuwa mapoyoyo wa kukubali kila kinachopendekezwa kwenye mkataba basi hatuna akili.
Halafu siamini kama hilo ni kweli. Kumbuka mkataba huu ulikuwa ni na serikali ya China, na kampuni ambayo ingejenga ni ya serikali ya China. China huwa wanachukia rushwa kuliko sisi, kwao kosa la rushwa ni kifo.
MKuu niliwahi kuwauliza Wachina juu ya hil, kuwa kwa nini kazi zao za Ethiopia na USA ni nzuri sana high standard lakini kwetu wanaboronga?Ha ha ha umenifanya nitanue mbavu kwa kicheko mkuu
Ila kumbuka China haitaki kitu inaitwa rushwa ukiwa nchini mwao ila sio nje ya China. Hapo ndo tunakuta makampuni mengi yapo Africa yanapewa Tenda afu yanafanya chini ya Viwango na kwa gharama kubwa kwa manufaa yao na wale wanao wahonga rushwa ili wapate hizo tenda mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haukuwa na 10%Wakati Magufuli anaingia madarakani alikuta Kikwete ametengeneza makubaliano na Wachina ya Kujenga SGR yote Dar hadi hadi Kigoma, na pia kutoka Uvinza kwenda mgodi wa Musongati wa Burundi na kufika Kaliua. Ilikua iende na Mwanza nadhani, kwa mkopo wa $7.6 Bilioni kupitia benki ya China ya EXIM na Kampuni ya Ujenzi ya Reli za serikali ya China. Magufuli aliitupia hii dili nje kwa madai kuwa ilikuwa na harufu ya ufisadi na kwamba tutajenga SGR kwa fedha zetu za ndani.
Sasa leo hii, zaidi ya fedha ambazo tayari tumezamisha kwenye SGR kipande cha Dar hadi Dodoma tu, tumekopa tena $ 1.46 Bilioni ili kukamilisha ujenzi wa SGR toka Dar hadi Makutopola. Hili linafanyika wakati TRC wanasema hadi sasa kipande kilichojengwa kimeshakula $1.3 Bilioni. Hii inamaanisha kwamba tunakopa $ 1.46 Bilioni kukamilisha sehemu ambayo tayari imekula $1.2 Bilioni. Kwa hiyo basi, hadi sasa kuanzia Dar hadi Makutopola gharama inaweza kufikia zaidi ya $3 Bilioni, ambayo ni karibu nusu (50%) ya mkataba ambao Kikwete na Wachina walikuwa watie sahihi kama gharama ya kujenga SGR yote, na Raisi Magufuli akatuaminisha Watanzania kwamba ule mkataba ulikuwa na harufu ya ufisadi.
Sasa wana JF mie nilishasema kuna mambo huwa simuelewi Magufuli. Kama kuna anaelewa juu ya hili basi naomba anifafanulie.
Usikute Kikwete na Wachina kwa sasa hivi wanacheka kweli kweli, na wanamcheka nani hilo halihitaji PhD kwa wewe kuelewa.
According to the Tanzania Railways Corporation’s latest reports on expenditure the project has so far spent an estimated $1.2 billion for two phases.The corporation’s project manager Machibya Kadogosa confirmed to The EastAfrican in an exclusive interview that, the two phases are currently being constructed by a Turkish firm Yapi Merkezi, in partnership with Portuguese firm Mota-Engil Africa.
Mkuu mbona kwenye Bandari Bagamoyo alisema wazi kwa nini aliupiga chini? Kwa nini afiche SGR lakini Bandari Bagamoyo amwage kila kitu?
NEW DELHI: Tanzania has suspended the construction of the China funded $10-billion Bagamoyo port project in a major setback for Beijing’s ambitious Belt and Road Initiative (BRI) project.
Magufuli has alleged that the China has presented “exploitative and awkward” terms in exchange for financing. Chinese financiers set “tough conditions that can only be accepted by mad people,” Magufuli told local media.
“They told us once they build the port, there should be no other port to be built all the way from Tanga to Mtwara south,” Magufuli told a delegation of business people at State House in Dar es Salaam on June 14.
Read more at:
Tanzania President terms China's BRI port project exploitative