Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,776
- 6,722
Habari
Rais Magufuli juzi alipo waapisha mh. Mahiga na mwenzake mh. Kabudi alitoa speech ya kushangaa ambapo alitanabaisha kwamba watanzania sio wajinga. Haina shaka Mo alitekwa na wasiojulikana na akaletwa na wasiojulikana huku IGP Sirro akitoa picha za gari linalosadikika ndo lilimteka Mo na kumrudisha japokuwa picha ya mbele na nyuma zilikuwa zikitofautiana.
Tukaona tena kwenye habari ya ITV ya saa mbili wakati kamanda Mambosasa alipouonyesha umma mtuhumiwa ambaye alikiri mbele ya kamera kwamba aliwapeleka wale wazungu waliomteka Mo stend ya mabasi Ubungo saa kumi usiku. Kwa vile sisi sio wajinga tukahoji inakuwaje mtuhumiwa anahojiwa na waandishi wa habari wakati watuhumiwa wengine wanapigwa makofi mbele ya kamera, huku wengine wakiwa na wasiwasi na uwoga, wengine wakifunika vichwa vyao lakini kwa yule jamaa alikuwa akihojiwa na yupe mwandishi alikuwa akijibu kwa ufasaha bila uwoga. Tushukuru technolojia, yule aliyehojiwa na waandishi wa habari tulimuona akiwa na dk. Shika kwenye show moja ya tv. Tukumbuke sisi sio wajinga.
Turudi Mwanza, Rais Magufuli akiwa ikulu alitoa mfano kwenye speech zake kwamba kuna polisi walifanya mchezo na waalifu ambao walitaka kutorosho dhahabu zaidi ya kilo 300. Alitupa mkasa kama naukumbuka vizuri, Rais Magufuli alisema kwamba wale watuhumiwa walipomkamata yupe mtuhumiwa mwenye dhahabu walimpeleka polisi kisha wakatoka naye. Waliendelea kuongea naye na yule mfanyabiashara mhalifu alitoa pesa akawapa wale askari kisha wakavuka naye kwenda visiwani. Baadaye wakawekewa mtego. Kilichotokea wakati wanajua wameshategwa wakapiga king'ora cha kufukuza mwizi.
Kinachonishangaza Rais Magufuli anakiri kwamba aliijua huo mchezo unaochezwa kule Mwanza ambako ni mbali ni mamia ya kilomita kutoka ikulu. Sasa kinachoshangaza Rais Magufuli hajui kilichotokea kwa Mo pamoja na picha picha za kipumbavu za IGP Sirro. Yaani umbali wa mita chache toka Mo alipotekwa hujui nini kilitokea lakini unajua kilichotokea Mwanza ukiwa umbali wa zaidi ya km 600 toka hapo ulipo. Umesema kweli sisi sio wajinga kisasi hicho.
Naona kamanda Mambosasa amekwisha tumika kama kondomu sasa kazi iliyobaki ni kuitupa chooni. Pamoja na kufunika kombe kwa Mambosasa lakini mnataka kumtoa kafara, wakati kwa shingo upande Mambosasa amefanya kazi yake kwa ueledi lakini kwa upumbavu wa aina yake. Ata kama mfamfukuza kazi au kumshusha cheo sisi sio wajinga tunajua kila kitu.
Naomba nirudie tena sisi watanzania sio wajinga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais Magufuli juzi alipo waapisha mh. Mahiga na mwenzake mh. Kabudi alitoa speech ya kushangaa ambapo alitanabaisha kwamba watanzania sio wajinga. Haina shaka Mo alitekwa na wasiojulikana na akaletwa na wasiojulikana huku IGP Sirro akitoa picha za gari linalosadikika ndo lilimteka Mo na kumrudisha japokuwa picha ya mbele na nyuma zilikuwa zikitofautiana.
Tukaona tena kwenye habari ya ITV ya saa mbili wakati kamanda Mambosasa alipouonyesha umma mtuhumiwa ambaye alikiri mbele ya kamera kwamba aliwapeleka wale wazungu waliomteka Mo stend ya mabasi Ubungo saa kumi usiku. Kwa vile sisi sio wajinga tukahoji inakuwaje mtuhumiwa anahojiwa na waandishi wa habari wakati watuhumiwa wengine wanapigwa makofi mbele ya kamera, huku wengine wakiwa na wasiwasi na uwoga, wengine wakifunika vichwa vyao lakini kwa yule jamaa alikuwa akihojiwa na yupe mwandishi alikuwa akijibu kwa ufasaha bila uwoga. Tushukuru technolojia, yule aliyehojiwa na waandishi wa habari tulimuona akiwa na dk. Shika kwenye show moja ya tv. Tukumbuke sisi sio wajinga.
Turudi Mwanza, Rais Magufuli akiwa ikulu alitoa mfano kwenye speech zake kwamba kuna polisi walifanya mchezo na waalifu ambao walitaka kutorosho dhahabu zaidi ya kilo 300. Alitupa mkasa kama naukumbuka vizuri, Rais Magufuli alisema kwamba wale watuhumiwa walipomkamata yupe mtuhumiwa mwenye dhahabu walimpeleka polisi kisha wakatoka naye. Waliendelea kuongea naye na yule mfanyabiashara mhalifu alitoa pesa akawapa wale askari kisha wakavuka naye kwenda visiwani. Baadaye wakawekewa mtego. Kilichotokea wakati wanajua wameshategwa wakapiga king'ora cha kufukuza mwizi.
Kinachonishangaza Rais Magufuli anakiri kwamba aliijua huo mchezo unaochezwa kule Mwanza ambako ni mbali ni mamia ya kilomita kutoka ikulu. Sasa kinachoshangaza Rais Magufuli hajui kilichotokea kwa Mo pamoja na picha picha za kipumbavu za IGP Sirro. Yaani umbali wa mita chache toka Mo alipotekwa hujui nini kilitokea lakini unajua kilichotokea Mwanza ukiwa umbali wa zaidi ya km 600 toka hapo ulipo. Umesema kweli sisi sio wajinga kisasi hicho.
Naona kamanda Mambosasa amekwisha tumika kama kondomu sasa kazi iliyobaki ni kuitupa chooni. Pamoja na kufunika kombe kwa Mambosasa lakini mnataka kumtoa kafara, wakati kwa shingo upande Mambosasa amefanya kazi yake kwa ueledi lakini kwa upumbavu wa aina yake. Ata kama mfamfukuza kazi au kumshusha cheo sisi sio wajinga tunajua kila kitu.
Naomba nirudie tena sisi watanzania sio wajinga?
Sent using Jamii Forums mobile app