Rais Magufuli alifanya mambo yasiyofaa na Rais Samia anarekebisha mabaya yaliyofanywa

Bila kuficha wala kuogopa, kwamba Rais Magufuli alifanya mambo ambayo ni kinyume kabisa na uongozi bora na alikuwa akitupeleka kwenye hali mbaya sana kama taifa la Tanzania. Alikuwa na kauli za kinafiki na hata kuamuru taasisi za serikali kubambikia watu kesi. Kuna mengi sana ambayo yote yakiwekwa wazi hakuna atakaetaka jina la Magufuli lionekane popote nchini, labda hayo mengine tuyaache kwa sasa.

Lakini sasa kazi kubwa anayofanya Rais Samia ni kuturudisha kwenye mstari sahihi wa uongozi kwa maslahi ya Watanzania wote. Rais Samia anastahili pongezi toka kwa kila Mtanzania mwenye akili timamu, sio lawama na shutuma. Wito wangu kwa Raisi Samia ni kuwaondoa au angalau kuwabadilisha kazi viongozi wa taasisi wote waliomtumikia Magufuli katika kutekeleza mambo maovu dhidi ya serikali na wananchi - iwe kwa kuwadhuru watu au kuhujumu mali na fedha za taifa. Nenda mbali zaidi ya Takukuru - angalia pia katika taasisi zote za serikali, za kijeshi na kiraia kutia ndani wakuu wa mikoa na wilaya. Watu hawa wamekosa imani toka kwa wananchi na hawafai tena katika nafasi zao, hawana legitimacy ya kuendelea kushika nafasi walizotumiwa vibaya. Wanaweza kuwa walitumika na si kosa lao la moja kwa moja, lakini kanuni za uongozi zinalazimu waondoke au waondolewe.

Ni vizuri watu wakaelewa haya ili kumwelewa Rais Samia. Haisaidii lolote kuficha ficha mambo. Tuko pamoja nawe Rais Samia, kwa maslahi ya Watanzania na Afrika kwa ujumla. Hongera sana mama, ziba masikio usisikie kelele za vyura wanaodhani watamzuia ng'ombe kunywa maji wakizidisha kelele.


View attachment 2196325
Nyamaza vyeti feki wewe. Tena alikosea angewa-sweka ndani kama sheria inavyosema ndio mngeshika adabu!
 
Ni hatari sana kumpa mtu mmoja madaraka makubwa mno ya kupindukia kuigoza nchi.
Mfumo wa teuzi kwa nyadhifa za juu ungepitia tume huru ya teuzi na kuidhinishwa na idadi ya theruthi mbili ya wabunge.
Pale wabunge wanapokuwa hawalidhishwi na utendaji kazi wa Afisa yeyote hata akiwa waziri wanamweka kitimoto tena live kwenye TV.anapojieleza au kujitetea.
Akija afisa akaleta visingizio vya ni "maamuzi kutoka juu",basi bunge litafanya utaratibu wa kumwita na kumhoji mtu wa juu.
Kama mtu au watu watabainika kukiuka maadili ya kazi basi bunge liagize mamlaka husika iwachukulie hatua za kisheria.
Kwa namna hiyo tutaondoa teuzi za upendeleo na kuwawajibisha wateule waovu.
 
Huyu mtu sijuiinu nani,sijui ni Gerson Msigwa.
Anaongea mambo inconsequential,anaongea uongo,anaongea misinformation na misrepresentation.
Kuhusu kipimo cha Covid. yule mtu mwenyewe aliyegundua kile kifaa Cha kupima Covid,alisema,"Be very careful unapotumia hiki kifaa. Ana sivyo utagundua Covid ndani ya fenesi." Halafu wewe unatueleza Magufuli alikuwa anaonea watu.
A lot of rubbish ameongea huyu mtu amezungumza. Hakuna muda wa kuchambua kila kitu Itoshe tu kusema Magufuli alikuwa na iron will,akli mathubuti,hapa kazi tu. Na vijana wamejifunza. Panya Road walikuwepo siku zote. But this time they may cause more trouble.
Siyo Magufuli aliwazuia watoto wajawazito kusoma,Ni Salma Kikwete.
Kuhusu appointments,yanaweza kutokea matatizo ya hapa na pale kwa ajili Rais ana washauri wengi. Lakini kumsema mtu ambaye ame sacrifice maisha yake kuwasaidia Watanzsnia,na sasa yuko Mbinguni anawaongoza malaika,hiyo haikubaliki.
Halafu Janet Magufuli alikuwa interviewed juzi, apparently anasema,"Mi nacheka kuambiwa kwamba Magufuli alikuwa anaumwa moyo" Ile clip sikupata nafasi ya kuiona kwa sababu simu yangu iliisha charge ghafla.
 
Bila kuficha wala kuogopa, kwamba Rais Magufuli alifanya mambo ambayo ni kinyume kabisa na uongozi bora na alikuwa akitupeleka kwenye hali mbaya sana kama taifa la Tanzania. Alikuwa na kauli za kinafiki na hata kuamuru taasisi za serikali kubambikia watu kesi. Kuna mengi sana ambayo yote yakiwekwa wazi hakuna atakaetaka jina la Magufuli lionekane popote nchini, labda hayo mengine tuyaache kwa sasa.

Lakini sasa kazi kubwa anayofanya Rais Samia ni kuturudisha kwenye mstari sahihi wa uongozi kwa maslahi ya Watanzania wote. Rais Samia anastahili pongezi toka kwa kila Mtanzania mwenye akili timamu, sio lawama na shutuma. Wito wangu kwa Raisi Samia ni kuwaondoa au angalau kuwabadilisha kazi viongozi wa taasisi wote waliomtumikia Magufuli katika kutekeleza mambo maovu dhidi ya serikali na wananchi - iwe kwa kuwadhuru watu au kuhujumu mali na fedha za taifa. Nenda mbali zaidi ya Takukuru - angalia pia katika taasisi zote za serikali, za kijeshi na kiraia kutia ndani wakuu wa mikoa na wilaya. Watu hawa wamekosa imani toka kwa wananchi na hawafai tena katika nafasi zao, hawana legitimacy ya kuendelea kushika nafasi walizotumiwa vibaya. Wanaweza kuwa walitumika na si kosa lao la moja kwa moja, lakini kanuni za uongozi zinalazimu waondoke au waondolewe.

Ni vizuri watu wakaelewa haya ili kumwelewa Rais Samia. Haisaidii lolote kuficha ficha mambo. Tuko pamoja nawe Rais Samia, kwa maslahi ya Watanzania na Afrika kwa ujumla. Hongera sana mama, ziba masikio usisikie kelele za vyura wanaodhani watamzuia ng'ombe kunywa maji wakizidisha kelele.


View attachment 2196325
Kwa huo uchawa wakikwambia utoe boga wakupe teuzi Si utatoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila kuficha wala kuogopa, kwamba Rais Magufuli alifanya mambo ambayo ni kinyume kabisa na uongozi bora na alikuwa akitupeleka kwenye hali mbaya sana kama taifa la Tanzania. Alikuwa na kauli za kinafiki na hata kuamuru taasisi za serikali kubambikia watu kesi. Kuna mengi sana ambayo yote yakiwekwa wazi hakuna atakaetaka jina la Magufuli lionekane popote nchini, labda hayo mengine tuyaache kwa sasa.

Lakini sasa kazi kubwa anayofanya Rais Samia ni kuturudisha kwenye mstari sahihi wa uongozi kwa maslahi ya Watanzania wote. Rais Samia anastahili pongezi toka kwa kila Mtanzania mwenye akili timamu, sio lawama na shutuma. Wito wangu kwa Raisi Samia ni kuwaondoa au angalau kuwabadilisha kazi viongozi wa taasisi wote waliomtumikia Magufuli katika kutekeleza mambo maovu dhidi ya serikali na wananchi - iwe kwa kuwadhuru watu au kuhujumu mali na fedha za taifa. Nenda mbali zaidi ya Takukuru - angalia pia katika taasisi zote za serikali, za kijeshi na kiraia kutia ndani wakuu wa mikoa na wilaya. Watu hawa wamekosa imani toka kwa wananchi na hawafai tena katika nafasi zao, hawana legitimacy ya kuendelea kushika nafasi walizotumiwa vibaya. Wanaweza kuwa walitumika na si kosa lao la moja kwa moja, lakini kanuni za uongozi zinalazimu waondoke au waondolewe.

Ni vizuri watu wakaelewa haya ili kumwelewa Rais Samia. Haisaidii lolote kuficha ficha mambo. Tuko pamoja nawe Rais Samia, kwa maslahi ya Watanzania na Afrika kwa ujumla. Hongera sana mama, ziba masikio usisikie kelele za vyura wanaodhani watamzuia ng'ombe kunywa maji wakizidisha kelele.


View attachment 2196325
Kwa maneno yake amesema anayarekebisha 👇

Screenshot_20220503-182121.png
 
Thanks. Na hiyo principal ndiyo hata M/Mungu anaitumia. Sisi tulimuweka Magufuli awe rais wetu, kuna mambo mazuri alifanya ktk kutekeleza wajibu wake. Well and good, na tulimlipa mshahara aliostahili. Kuna Yale mabaya aliyofanya- ya ovyo, ya kijinga, ya kikatili, maneno yasiyofaa, kutukana watu, kashfa, ubaguzi, udhalilishaji nk. Kwa hayo alaaniwe. Mungu akisamehe kizazi chake.
Uovu mmoja, japo wa mara moja, hubatilisha maovu yote mazuri, japo ya miaka mingi

Tenda wema na ukarimu mtaani kwako kwa miaka kumi, halafu siku mmoja mbake mtoto wa miaka mitano wa jirani yako, utajifunza jambo, kama utabakishwa hai.

Uovu mmoja, japo wa mara moja, hubatilisha maovu yote mazuri, japo ya miaka mingi

Tenda wema na ukarimu mtaani kwako kwa miaka kumi, halafu siku mmoja mbake mtoto wa miaka mitano wa jirani yako, utajifunza jambo, kama utabakishwa hai.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom