Rais Magufuli alichukua hatua mzuri ya kutofunga uchumi Tanzania

Kufunga au kutokufunga kulipaswa kutokane na ushauri wa kisayansi, sio kwa kujichokea kisa umaskini. Tunazo 3rd world countries zinateswa kinyama na huu ugonjwa, hivyo tulikua sahihi na tuko sahihi hadi leo maana hamna toleo lolote la kisayansi linaonyesha kwanini hatufi kama nzi, hivyo tunatembelea bahati, sasa kwa ulimwengu wa sayansi hamna kitu kinaitwa "bahati".

Kwa Tanzania hamna cha kuiga pale, wao waligoma kufunga kisa umaskini wao, halafu wakaficha data, hiyo sio namna kabisa ya kushughulika na janga kama hili.
Nani aliyekwambia ukikubali ukweli utageuka jinsia?
 
Wale wana uwezo wa kiakili zaidi yenu mara mia, hivyo wakiambiwa wazingatie namna ya kuhusiana kwa njia salama bila kusogeana wanafanya ipasavyo, hivyo hamna haja ya kuwafanya lockdown, nyie mliojichokea hapo Tandale leo mnataka mfananishwe na Sweden, mnabanana kwenye madaladala na kunukiana shombo.
I can feel ur pain jombaa
 
Wale wana uwezo wa kiakili zaidi yenu mara mia, hivyo wakiambiwa wazingatie namna ya kuhusiana kwa njia salama bila kusogeana wanafanya ipasavyo, hivyo hamna haja ya kuwafanya lockdown, nyie mliojichokea hapo Tandale leo mnataka mfananishwe na Sweden, mnabanana kwenye madaladala na kunukiana shombo.
Sema wamekupita wewe, hao unaowaona miungu watu, tumesoma nao na kuwapiga bao kwenye mitihani na tumefanyanao kazi pia. Ni binadamu wa kawaida ila ujanja wao ni kukuaminisha wewe kuwa wao ni miungu watu.
 
Halafu nimeona kwenye mitandao mumeandaa kufanya sherehe za kufa mtu Dar siku ya Jumapili na Jumatatu, disco na vilabu vyote vimejiandaa mkao wa kula, machangu wamejitayarisha yaani full mwendo wa kukufuru na kukiuka kila aina aya ushauri iwe wa kidini au kisayansi, hehehe nyie watu bana, najichekea tu.
Mkuu karibu sana kwenye corona send-off jumapili yaani ni full shangwe kila sehemu wa kwenda kanisani aende, wa kwenda bar aende, wa club aende ili mradi kila mtu aifanyie corona send-off
 
Sema wamekupita wewe, hao unaowaona miungu watu, tumesoma nao na kuwapiga bao kwenye mitihani na tumefanyanao kazi pia. Ni binadamu wa kawaida ila ujanja wao ni kukuaminisha wewe kuwa wao ni miungu watu.

Mumefanya nao vyote hivyo ila leo hii hao Sweden ndio wanaongoza kuwapa misaada, inaonyesha mlivyo hovyoo.
 
Hii imekaaje tena, kwa nini wanataka formula?
Wanachotakiwa Madagascar kufanya ni ku-patent the formula kabla hawajawapa WHO hiyo formula la sivyo those big multinational companies wataiiba na kui-patent! Kutoa formula kwa madawa si kitu kigeni maana dawa yeyote lazima ipitiwe na taasisi za uangalizi kabla ya kupata legitimacy ya mass consumption.
 
Kufunga au kutokufunga kulipaswa kutokane na ushauri wa kisayansi, sio kwa kujichokea kisa umaskini. Tunazo 3rd world countries zinateswa kinyama na huu ugonjwa, hivyo tulikua sahihi na tuko sahihi hadi leo maana hamna toleo lolote la kisayansi linaonyesha kwanini hatufi kama nzi, hivyo tunatembelea bahati, sasa kwa ulimwengu wa sayansi hamna kitu kinaitwa "bahati".

Kwa Tanzania hamna cha kuiga pale, wao waligoma kufunga kisa umaskini wao, halafu wakaficha data, hiyo sio namna kabisa ya kushughulika na janga kama hili.
Hivi kati ya Kenya na Tanzania nani maskini? Anae foji takwimu ili apate msaada ama asie taka msaada?

God save us
 
Msaada siyo ishu hata US wanapokea misaada.

Halafu huwa naona wanawapumulia ssana shingoni kuhusu hiyo misaada, ndio laana ya kuwa maskini, huna jeuri....ukiambiwa ushushe chupi, unafanya moja kwa moja
 
Usipaliwe kwa mate kwa kuchungulie ya jirani na kucheka umbea subiri tuwatumie mahindi mle
Halafu nimeona kwenye mitandao mumeandaa kufanya sherehe za kufa mtu Dar siku ya Jumapili na Jumatatu, disco na vilabu vyote vimejiandaa mkao wa kula, machangu wamejitayarisha yaani full mwendo wa kukufuru na kukiuka kila aina aya ushauri iwe wa kidini au kisayansi, hehehe nyie watu bana, najichekea tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufunga au kutokufunga kulipaswa kutokane na ushauri wa kisayansi, sio kwa kujichokea kisa umaskini. Tunazo 3rd world countries zinateswa kinyama na huu ugonjwa, hivyo tulikua sahihi na tuko sahihi hadi leo maana hamna toleo lolote la kisayansi linaonyesha kwanini hatufi kama nzi, hivyo tunatembelea bahati, sasa kwa ulimwengu wa sayansi hamna kitu kinaitwa "bahati".

Kwa Tanzania hamna cha kuiga pale, wao waligoma kufunga kisa umaskini wao, halafu wakaficha data, hiyo sio namna kabisa ya kushughulika na janga kama hili.
haaa wewe jama unachekesha saana sana.
tanzania tumeacha lock down kwa sababu ni masikini ?

balozi wa kenya hapa tanzania anaongea mpaka analia anaomba msamaha yaishe mambo ni magumu kenya sababu tanzania kapiga ngumi ya taya mpakani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema wamekupita wewe, hao unaowaona miungu watu, tumesoma nao na kuwapiga bao kwenye mitihani na tumefanyanao kazi pia. Ni binadamu wa kawaida ila ujanja wao ni kukuaminisha wewe kuwa wao ni miungu watu.




Hivyo kwa nini waje kuwatengezea reli na infrastructure nyingine hali ninyi mmewafikia kiakili? Hamwishi kutushangaza. Mwanzo linganisha sarafu yao na yenu.
 
It's Only a fool that doesn't change his mind, hapo mbeleni nilimponda Magufuli kwa jinsi alivyo handle hii pandemic ya Corona lakini sasa naona he was right all along; huu ugonjwa hauathiri Afrika Kama vile nchi za uzunguni,kwa Africa ni Kama homa tu.

Mfano angalia nchi Kama Somalia South Sudan na Burundi ambazo ndio shithole za Africa yaani mtu angetegemea watu huko wakufe Kama nzi lakini wapi maisha ina endelea Kama kawaida.

Nchi za uzunguni hazingefunga nchi zao kama maafa ingekuwa chache kama Africa. Kwa hivyo, Uhuru aache upuuzi ya kuiga wazungu na afungue nchi kama Magufuli. Ni aibu kuona Serikali ya Kenya iko so desperate kutaka visa ziongezeke hadi wana-fake number za wale wako positive. It's a good thing wameshindwa kufake vifo juu media za uku zitahoji kuona mwenye Miili zinazikwa.

Hauwezi kamwe kujustify kufunga uchumi kwa miezi tatu sasa sababu watu less than 50 wamekufa. Mafuriko yenyewe ime ua zaidi ya watu 250+ wanao julikana kwa sasa chini ya mwezi mmoja na kila mtu anaimba tu Corona.
Umeongea point ndo umuelimishe yule mbumbumbu mk254 a.k.a mzee wa Pima pima pimaaa korona imeuwa watu 50 lakini mtu anafikia kufunga nchi lakini kuna mafuriko na malaria inaua zaidi ila hawajafunga nchi huu ni uchizi wa kiwango cha rami
 
Kufunga au kutokufunga kulipaswa kutokane na ushauri wa kisayansi, sio kwa kujichokea kisa umaskini. Tunazo 3rd world countries zinateswa kinyama na huu ugonjwa, hivyo tulikua sahihi na tuko sahihi hadi leo maana hamna toleo lolote la kisayansi linaonyesha kwanini hatufi kama nzi, hivyo tunatembelea bahati, sasa kwa ulimwengu wa sayansi hamna kitu kinaitwa "bahati".

Kwa Tanzania hamna cha kuiga pale, wao waligoma kufunga kisa umaskini wao, halafu wakaficha data, hiyo sio namna kabisa ya kushughulika na janga kama hili.
Nimegundua huyu dogo anahasira mbaya na tz kuliko yeyebanavoweza kuelewa. Labda uambiwe tu tz sio masikini kama unavojidanganyaga kila siku. Tofauti ya GDP iliyoko kati ye ke na tz sio kigezo cha kumaanisha wananchi ni maskini. Kibuhalisia hata kama hutaki kuamini kwa sababu zako unazozijua wananch wa nchi zote mbili hawapishani. Na kwa mwananchi mmoma mmoja angalau wa tz ni bora kuliko hao wa kenya. Ila kwa vile unajisikiaga kushiba unapotaja umaskini ww.endelea hivyo hivyo labda ni njia ya kukuondolea stress zilizokujaa. Ila pole naamini kuna kitu wabongo walikufanyia maana sio kwa chuki hizo ambazo ziko wazi kabisa. Wakat mwingine inabidi tukiona post zako turuke tu bila kusoma maana najua hakuna uchambuzi wa maana unaoweza kusema other than kusifia visivypsifika na kuponda visivyopondeka kwa maneno yako mawili tu na yakila comment..umaskini na kujichokea.. Pole kwa umaskin wako na kujichokea maana hizo lockdown zitawamaliza subrin tu
 
Kufunga au kutokufunga kulipaswa kutokane na ushauri wa kisayansi, sio kwa kujichokea kisa umaskini. Tunazo 3rd world countries zinateswa kinyama na huu ugonjwa, hivyo tulikua sahihi na tuko sahihi hadi leo maana hamna toleo lolote la kisayansi linaonyesha kwanini hatufi kama nzi, hivyo tunatembelea bahati, sasa kwa ulimwengu wa sayansi hamna kitu kinaitwa "bahati".

Kwa Tanzania hamna cha kuiga pale, wao waligoma kufunga kisa umaskini wao, halafu wakaficha data, hiyo sio namna kabisa ya kushughulika na janga kama hili.

Sema hii ni fursa yenu ya kupiga pesa maana ukiondoa Hiyo knockdown hiyo pesa mnayopiga nani atawapa wezi nyie, kazi kudhulumu wananchi maskini kisa Corona.
 
Nimegundua huyu dogo anahasira mbaya na tz kuliko yeyebanavoweza kuelewa. Labda uambiwe tu tz sio masikini kama unavojidanganyaga kila siku. Tofauti ya GDP iliyoko kati ye ke na tz sio kigezo cha kumaanisha wananchi ni maskini. Kibuhalisia hata kama hutaki kuamini kwa sababu zako unazozijua wananch wa nchi zote mbili hawapishani. Na kwa mwananchi mmoma mmoja angalau wa tz ni bora kuliko hao wa kenya. Ila kwa vile unajisikiaga kushiba unapotaja umaskini ww.endelea hivyo hivyo labda ni njia ya kukuondolea stress zilizokujaa. Ila pole naamini kuna kitu wabongo walikufanyia maana sio kwa chuki hizo ambazo ziko wazi kabisa. Wakat mwingine inabidi tukiona post zako turuke tu bila kusoma maana najua hakuna uchambuzi wa maana unaoweza kusema other than kusifia visivypsifika na kuponda visivyopondeka kwa maneno yako mawili tu na yakila comment..umaskini na kujichokea.. Pole kwa umaskin wako na kujichokea maana hizo lockdown zitawamaliza subrin tu
Angekuw wa kuelewa angeelewa kaka.ila unapoteza mda,huyu ni mwezi mchanga.mtu timamu hawezi akawa na hulka kama za uyu boya
 
Back
Top Bottom