Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 4,838
- 8,667
mimi ninafanya kazi na wakulima huko babati nakujua kote kuanzia endasak, dareda, galapo, mamire mpaka magugu hunidanganyi, singida yote nakujua mpaka kiomboi. mikoa inayolima mahindi kwa wingi ni songea na rukwa, huko kwingine wanalima kujifurahishaWewe ndiye kichaa wa kwanza nchi hii.
Dodoma nimeishi,MAHINDI yalimwa nami nilisha Lima maeneo ya mmoja na songambe, mpwpw pia inatoa mahindi bahati na singida ni maeneo ninayoyafahamu vizuri. Unaongea ukiwa una kula kwa baba na mama yako