Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,440
Siwezi kuhudhuria mikutano ya ccm iliyojaa porojo na unafiki mtupuHahahaa....... Mkuu nilikuona hapo mkutanoni........yaani ulikosa hata 50,000 ya kuwachangia wapiga kura wenu!
Siwezi kuhudhuria mikutano ya ccm iliyojaa porojo na unafiki mtupuHahahaa....... Mkuu nilikuona hapo mkutanoni........yaani ulikosa hata 50,000 ya kuwachangia wapiga kura wenu!
Unataka aruhusu nani?KwanI Siasa zimeruhusiwa?
Wewe wasema!Michango ya maigizo!!!! Mungu hajaribiwi 🙄🙄🙄🙄🙄
Wapi huko hakuna mvua mkuu!Amejiandaa la baa la njaa linakokuja mbele,au serikali haina shamba au jiko!?
Mnagawa hela kwenye nsafara wakati maeneo mengi yamekosa mvua mimea ya chakula imeungua na jua.
Je mmejiandaa kuwahami watakaoathirika na njaa?
Madiwani wote 11 wa chadema walikuwepo!Siwezi kuhudhuria mikutano ya ccm iliyojaa porojo na unafiki mtupu
Kama hujui kuwa nchi imekubwa na ukame mikoa mingi basi wewe siyo mtanzania.Wapi huko hakuna mvua mkuu!
Hahahaa........ Huku Mbeya tunaenjoy tu!Kama hujui kuwa nchi imekubwa na ukame mikoa mingi basi wewe siyo mtanzania.
Utakuwa muangola au mmalawi
Waislamu hawana makuu!Jaffo mbahili, anatoa 500,000 tu! Yye ndo alitakiwa awe juu koz ni muislam
Hao ni watendaji wa wananchi , Chama hakikuwa na ratiba ya kumsikiliza mtu anayepambana kuuwa Demokrasia na hasa kuuwa ChademaMadiwani wote 11 wa chadema walikuwepo!
Chadema wana madiwani 11 pale Kyela mjini mkutano ulikofanyikia na wengine ni wa CCM na wote walikuwepo.Mbona hutwambii vyama vingine vimechanga kiasi gani? Una shida na Chadema?
Kwani Mchango ulikuwa na masharti ya chama kinachochangia kiwe na madiwani?Chadema wana madiwani 11 pale Kyela mjini mkutano ulikofanyikia na wengine ni wa CCM na wote walikuwepo.
Labda unitajie hicho chama kingine!
Hahahaa....... RC Chalamila amesema madiwani wote wa chadema Kyela wameomba kujiunga CCM, je hili nalo unalizungumziaje?!Hao ni watendaji wa wananchi , Chama hakikuwa na ratiba ya kumsikiliza mtu anayepambana kuuwa Demokrasia na hasa kuuwa Chadema
Kwani kuna aliyelalamikia Chadema kutochanga?!Kwani Mchango ulikuwa na masharti ya chama kinachochangia kiwe na madiwani?
Mkuu kwakuwa nimegusa ugawaji hela kwenye msafara wa mwenyekiti wako,ukajisahaulisha kwa muda kuwa kuna maeneo mengi ya nchi yamekosa mvua na kuna hatari kubwa ya njaa.!!Hahahaa........ Huku Mbeya tunaenjoy tu!