Rais Magufuli akutana na Wilson Masilingi, Philip Marmo na Jenerali George Waitara Ikulu Dar

Comrade P. Michael
Mostly in African Leadership, the Elite requires Loyalist as number one factor. The second is performance
As far as New Command next year, loyal matters the same as you saw happened at TISS.
FYI, due to HIS leadership style the number one Citizen is faced with unseen enemies

Loyalty muhimu ..lakini jeshini ni tofauti sana na usalama au polisi ....kule wanaheshimu sana seniority ........lazima atalazimika kuchagua watu aliopendekezewa na wazee ....hilo moja ..,pili hataweza kumchukua "outsider" na kumpa ...hatapewa ushirikiano ...wale they never compromise ....eti umrushe Bregadier General Umpe U CDF uwaache wa juu yake ....utaulizwa hao hawafahi kabisa ....
kuna wakati JK alimtaka LT GEN NDOMBA hii mada huku ndani ipo ....malalamiko yalikuwa makubwa sana kwakuwa alianza kumpa vyeo haraka haraka toka RC, akiwa kanali akampa u brigadier ,haraka ukuu wa jkt alafu CS ...lakini ili ampe huo u cs .....ilibidi ma senior Maj General waliokuwapo Mela Na Rioba nao awape three stars ...na kwakuwa huwezi kuwa na three stars zaidi ya mmoja kwenye jeshi na wala Ndomba hangeweza kuvaa three stars kabla ya waliomtangulia kupanda kuvaa hasa ukizingatia hawana kosa la kinadhim basi wale akawatafutia kazi zingine na vyeo vyao wakaenda kusubiri kustaafu ...its costly na tunajua rais wetu hawezi kufanya option kama hiyo ....ya kuwapandisha seniors wote walioko pale kuwatafutia kazi ili tu atafute kujenga mtandao mpya .....we have the proffessional army than any one in the region ..maafisa wote wa juu wanaweza kuaminika ...hata kama sio wa kutoka kwako.
 
Comrade Mikael
Nakubaliana na hoja yako
*Through there and here almost the die have been casted*
Refer my first comment
 
Mkuu anatafuta information muhimu za kumsaidia kupata jembe jipya jeshini.
 
vp kihusu davis mwamunyange kuanzia 2007 mpaka sasa ni miaka mingapi ?
naomba unieleweshe mimi mwanachi wa kawaida
Kama nilivyokueleza utaratibu ni huo isipokuwa pale tu Amiri Jeshi atakavyoamua vinginevyo. General Davis Mwamunyange mwanzoni mwa mwaka huu alitamka kwamba Mheshimiwa Rais amemwongezea mwaka mmoja hadi mwakani. Tamko hilo linadhihirisha hilo kwamba muda wa kudumu katika UCDF ni miaka 4 tu labda Rais aamue vinginevyo na endapo umeteuliwa kuwa CDF na ukatimiza miaka 60 kabla ya kipindi cha miaka minne hapo pia inatakiwa uachie ngazi labda pia Rais aamue vinginevyo!
 
Kama nilivyokueleza utaratibu ni huo isipokuwa pale tu Amiri Jeshi atakavyoamua vinginevyo. General Davis Mwamunyange mwanzoni mwa mwaka huu alitamka kwamba Mheshimiwa Rais amemwongezea mwaka mmoja hadi mwakani. Tamko hilo linadhihirisha hilo kwamba muda wa kudumu katika UCDF ni miaka 4 tu labda Rais aamue vinginevyo na endapo umeteuliwa kuwa CDF na ukatimiza miaka 60 kabla ya kipindi cha miaka minne hapo pia inatakiwa uachie ngazi labda pia Rais aamue vinginevyo!
ok nimefuatilia na nimejua kuwa alikuwa general akiwa na miaka 48 .kwa hiyo sasa mwezi iliopita ndio kafikisha 57 kwahiyo mwakani february akiondoka atakuwa umri sawa george alivyoondoka 57.
 
Loyalty muhimu ..lakini jeshini ni tofauti sana na usalama au polisi ....kule wanaheshimu sana seniority ........lazima atalazimika kuchagua watu aliopendekezewa na wazee ....hilo moja ..,pili hataweza kumchukua "outsider" na kumpa ...hatapewa ushirikiano ...wale they never compromise ....eti umrushe Bregadier General Umpe U CDF uwaache wa juu yake ....utaulizwa hao hawafahi kabisa ....
kuna wakati JK alimtaka LT GEN NDOMBA hii mada huku ndani ipo ....malalamiko yalikuwa makubwa sana kwakuwa alianza kumpa vyeo haraka haraka toka RC, akiwa kanali akampa u brigadier ,haraka ukuu wa jkt alafu CS ...lakini ili ampe huo u cs .....ilibidi ma senior Maj General waliokuwapo Mela Na Rioba nao awape three stars ...na kwakuwa huwezi kuwa na three stars zaidi ya mmoja kwenye jeshi na wala Ndomba hangeweza kuvaa three stars kabla ya waliomtangulia kupanda kuvaa hasa ukizingatia hawana kosa la kinadhim basi wale akawatafutia kazi zingine na vyeo vyao wakaenda kusubiri kustaafu ...its costly na tunajua rais wetu hawezi kufanya option kama hiyo ....ya kuwapandisha seniors wote walioko pale kuwatafutia kazi ili tu atafute kujenga mtandao mpya .....we have the proffessional army than any one in the region ..maafisa wote wa juu wanaweza kuaminika ...hata kama sio wa kutoka kwako.
I salute.....tafakuri zenye mashiko.
 
Mara zote sijui ni sheria au mazoea tu kuwa CDF anatoka Maj Gen anaruka hiyo nafasi ya unadhimu ya Lt Gen.anakuwa full Gen...ukifika unadhimu sio rahisi kupewa CDF.....
Kwa hali ilivyo CDF mpya alishapatikana miezi 9 iliyopita. Na huyu ni CoS wa sasa.. Lt. Gen. Mabeyo.. Hajafikia muda wa Kustaafu bado.. Ameingia kwenye Unadhimu Januari..
Anatoka DMI kama ilivyokuwa CDF wa sasa hivyo Jeshi analijua vizuri..
 
Kwema kaka
Siku zaenda vyema
Hbr za pilika

Pilika njema kaka Q.
The boat is sailing well despite all odds.
Tunapitia kipindi kigumu sana katika kurudisha mstari uliopindishwa na WENZETU.
Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu, Mzee atavuka salama, All men in combat boots wanasupport marekebisho haya.

Week njema Comrade
 
Back
Top Bottom