johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,598
- 141,413
Rais Magufuli ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM amekutana na Rais wa Zanzibar Dr Shein ambaye pia ni makamu wa mwenyekiti CCM huko visiwani.
Katika kikao hicho alikuwepo pia mzee Mangula na Dr Bashiru Ally.
Baada ya kikao hicho Rais Shein alienda kuweka udongo kwenye jiwe la msingi la ujenzi wa Ikulu ya Chamwino akiwa amesindikizwa na mzee Mangula na Dr Bashiru.
Source Eatv habari!
Katika kikao hicho alikuwepo pia mzee Mangula na Dr Bashiru Ally.
Baada ya kikao hicho Rais Shein alienda kuweka udongo kwenye jiwe la msingi la ujenzi wa Ikulu ya Chamwino akiwa amesindikizwa na mzee Mangula na Dr Bashiru.
Source Eatv habari!