Njopino
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 3,470
- 5,050
Hata sijaangalia, kuna mabadiliko kwaniWe rafiki mpaka leo ni bila bila?!
Hata sijaangalia, kuna mabadiliko kwaniWe rafiki mpaka leo ni bila bila?!
Why is this such a big issue?? Kunanini tena???
Sijaona mabadiliko yoyote, kama kawaida tuuHata sijaangalia, kuna mabadiliko kwani
Kuna kamvua kananyesha uku, nimejifungia tu ndani hata sijui dunia inazunguka toka wapi kwenda wapi.Sijaona mabadiliko yoyote, kama kawaida tuu
Nasikia dunia toka jana haijazunguka ndugu!Kuna kamvua kananyesha uku, nimejifungia tu ndani hata sijui dunia inazunguka toka wapi kwenda wapi.
Inawezekana mana tokea jana siku azisongi kabisa usiku umekuwa mrefuuuuu na asubuhi imekuwa ndefuuuuu, I wish leo ingekuwa keshokutwa.Nasikia dunia toka jana haijazunguka ndugu!
Nilipo kuna kaubaridi kama kote! Ila nishaamka!
Pole sana ndugu!Inawezekana mana tokea jana siku azisongi kabisa usiku umekuwa mrefuuuuu na asubuhi imekuwa ndefuuuuu, I wish leo ingekuwa keshokutwa.
Asante mkuu,Pole sana ndugu!
Tayari,we we jeWewe mpaka leo bado?!
Clinton na Barraka Obama. Mara tatu hivi. Obama akamsubiri airport, Clinton amalize kuongea na wandishi wa habari.Umewahi kuona wapi Rais anasindikizwa na Rais mstaafu na sisi tupo? Miaka karibu 4 ya uongozi wa Awamu ya Tano hakuna kizuri kimesemwa kuhusu huyu mstaafu bali ni mabaya na kejeli tu. Huu urafiki wa kusafiri pamoja una ishara gani?
Toka juzi mpaka mesahau mimi etiTayari,we we je
Tumefanya fujo gani mkuu?Wanaenda kula bata wamechoka Fujo za wabongo
Dirishani wanakaa wastaafu tu?Wametumia ndege gani? Kimpangilio JK ndiye alitakiwa kukaa dirishani
Hujataja walikuwa wanasindikizana Mara tatu kwenda nchi zipi. Hata hawa wangekuwa wanakwenda Chato au Mtwara kwa shughuli yoyote kusingekuwa na cha kushangaza wote CCM lakini Obama kwClinton na Barraka Obama. Mara tatu hivi. Obama akamsubiri airport, Clinton amalize kuongea na wandishi wa habari.
Clinton na Barraka Obama. Mara tatu hivi. Obama akamsubiri airport, Clinton amalize kuongea na wandishi wa habari.
Itifaki ndivyo inavyotaka anayekaa kulia ndiye mkubwa kimadaraka au kicheo au anapewa heshima fulaniDirishani wanakaa wastaafu tu?
Ujerumani na SA kwenye msiba wa MandelaHujataja walikuwa wanasindikizana Mara tatu kwenda nchi zipi. Hata hawa wangekuwa wanakwenda Chato au Mtwara kwa shughuli yoyote kusingekuwa na cha kushangaza wote CCM lakini Obama kw
Hata akikutajia jina lake inabidi ukathibitishe RITA.Wanasiasa Ndiyo wanafiki namba moja duniani