Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,403
Rais Magufuli amefanya mazungumzo na Wafanyabiashara wa Samaki katika Soko la Samaki la Ferry kuhusu umuhimu wa kutumia mifuko mbadala na kuachana na kutumia mifuko ya plastiki
Rais alipita sokoni hapo akiwa katika matembezi yake ya jioni sokoni, alikagua samaki na kisha kununua samaki hao na kisha kuwahifadhi katika kikapu chake cha kiasili
Aidha, Rais Magufuli amezungumza na wauza kahawa katika eneo la Soko la Ferry ambapo aliagiza kuboreshwa kwa sehemu ya biashara hiyo kuanzia siku ya kesho
Rais alipita sokoni hapo akiwa katika matembezi yake ya jioni sokoni, alikagua samaki na kisha kununua samaki hao na kisha kuwahifadhi katika kikapu chake cha kiasili
Aidha, Rais Magufuli amezungumza na wauza kahawa katika eneo la Soko la Ferry ambapo aliagiza kuboreshwa kwa sehemu ya biashara hiyo kuanzia siku ya kesho