mgogoone
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 2,902
- 2,096
Utatafuta pesa Tanzania au utakuja na Pesa kutoka unakotoka?, utakapokuja Tanzania bila pesa wewe sio mwekezaji,
Mkuu Hivi unafikiri pesa tu ndio uwekezaji?
Elimu Na maarifa ndio uwekezaji.
Mimi naajiri wengi wenye elimu Na maarifa kwenye miradi mingi ambayo ninayo isimamia.
Katika hao tulio waajiri wengi wamefungua kampuni zao Na wameajiri watu wengi tu.
Elimu,maarifa,uaminifu Na hekima=$$$$$$$$$