Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,092
- Thread starter
- #21
Hivi kwa nini SMS zako zote zinaonyesha kuiombea nchi na viongozi wake mabaya, utafikiri machafuko yakitokea wewe utabaki salama?
Ametoa tahadhari nzuri, viongozi wawe makini. Kama wakishindwa kutenda haki kwenye uchaguzi huu na nchi ikadumbukia kwenye lindi la umwagaji damu basi hata wao hawatakuwa salama. Mkono wa sheria utawafikia