unajidanganya ccm ni lidubwana kubwa sana ambalo Pombe halifahamu vizuri,na likitaka kumpoteza katika medani ya siasa linampotezaUkweli mtupu msema kweli ni mpenzi wa Mungu mpka sasa mimi sina imani na CCM nina imani kubwa sana na Mh. Raisi JPM.
Uongo mwingine bwana....Nimejaribu kuwaza.
Nikipita kijijini na mitaani nikiangalia maoni nje ya mitandao huyu Bwana anakubalika kuliko hata hiyo CCM.
Kwa hatua iloyofika, CCM ndiyo inapaswa kujipendekeza kwa JPM kuliko JPM kubembeleza wanaCCM wamuunge mkono.
Yote kwa Yote, Natamani 2020 nione mambo mengi yasiyoya kawaida na mazoea kuliko chaguzi zote ila amani yetu ibaki kibindoni.
Uhakika nilionao wanaCCM hata wanyukane vipi hawawezi kuhatarisha amani ya nchi. Ila wengine nje ya hao sina imani nao.
mkuu huipendi CCM, humpendi JPM au hupendi Vyote.CRAP!
Uwezo wako wakufikiri ni mdogo.mkuu hata mimi nilimnyima Kura JPM kwa Sababu ya CCM. Nikampa Lowasa ili kuikomoa CCM licha ya kumkubali jpm kiaina.
sio nchi hii na waTZ hawa. CCM ikishindwa kwa mshangao nitachukua hadi kadi nijiunge na chama hicho kipya na kikuukuu cha upinzani.Uongo mwingine bwana....
Regime hii itafeli kwa kupenda kua kwenye denial...
Wewe umesema,na sisi wengine pia tunapita mitaani tunapata majibu tofauti kabisa na yako!
Tutabishana hadi kesho,wewe unayo yako na mimi ninayo yangu!
Tusubiri uchaguzi mnawezapata shock of a century!
sawa, wenye uwezo mkubwa huwa hawaishi nchi hii. Fasta sana wanapwewa uraia wa USUwezo wako wakufikiri ni mdogo.
wote hao sehemu yao ni kwenye tanuru la moto hawafaimimi siipendi ccm nampenda sana makufuli
Ccm ni Taasisi kubwa sana
Msilinganishe Ccm na Vicoba vyenu vya Chadema, ACT na CUF
John Magufuli ni Ccm na Ccm ni John Magufuli
mkuu huipendi CCM, humpendi JPM au hupendi Vyote.
Usiwazuie wanaompenda JPM kumpenda mkuu.
Kuna mwanakijiji mmoja alinipga mkwara akinisikia namsema vibaya atanishughulikia.
Lazima ujue kuna watu wanampenda mno
mkuu huipendi CCM, humpendi JPM au hupendi Vyote.
Usiwazuie wanaompenda JPM kumpenda mkuu.
Kuna mwanakijiji mmoja alinipga mkwara akinisikia namsema vibaya atanishughulikia.
Lazima ujue kuna watu wanampenda mno
sio nchi hii na waTZ hawa. CCM ikishindwa kwa mshangao nitachukua hadi kadi nijiunge na chama hicho kipya na kikuukuu cha upinzani.
Tuwe wakweli. hawa jamaa JPM kawakaba kila kona. hawana ujanja tena hari aondoke 2025
Mleta mada unaishi nje ya nchi au tuko wote humuhumu TZ?
Kama anakubalika hata inje ya ccm c anzishe tu chama chake ili agombee kwa raha zake. Mtu asikudanganye Magufuli hakushinda kiahalali 2015. Bila Mkapa, Kikwete Magufuli kwasasa angekuwa waziri au mkuu wa wilayaNimejaribu kuwaza.
Nikipita kijijini na mitaani nikiangalia maoni nje ya mitandao huyu Bwana anakubalika kuliko hata hiyo CCM.
Kwa hatua iloyofika, CCM ndiyo inapaswa kujipendekeza kwa JPM kuliko JPM kubembeleza wanaCCM wamuunge mkono.
Yote kwa Yote, Natamani 2020 nione mambo mengi yasiyoya kawaida na mazoea kuliko chaguzi zote ila amani yetu ibaki kibindoni.
Uhakika nilionao wanaCCM hata wanyukane vipi hawawezi kuhatarisha amani ya nchi. Ila wengine nje ya hao sina imani nao.