Rais Magufuli akiamua kuwa Rais wa maisha kuna wa kumzuia?

Uwepo wa mtu mweusi katika hii dunia ni wa bahati mbaya tu na ni siwa na uwepo wa kitu mahala ambapo si pake(ucha...fu).
 
Bunduki ipi ilihali yeye na serikali yake ndio wanahodhi vyombo vya dola?
Mbona mnawaza sana na hofu nyingi,,,, yeyote atakayeingia kihalali ikulu atalindwa na vyombo vya dola,,,, vyombo hivyo vinaapa kulinda mamlaka halali za kiraia zilizowekwa na wananchi,,, kifupi tuache kuhisi vitu visivyowezekana ati kisa tu ndani ya CCM imewezekana,,,,,, labda angefanya JK labda angesumbua mana alipendwa sana na regime nzima ila sio sahivi! Pia watu wametulia kwa kuwa utaratibu unafuatwa,,,,, acheni mawazo hayo watu sio waoga namna mnavyohisi nyie.....
 
Wajerumani wanampenda Hitler mpaka leo,Hitler anachukiwa na wayahudi as aliwachukia,pia anachukiwa na nchi zingine za ulaya as alitaka kutawala ulaya yote.Wajerumani wanampenda mpaka kesho,hujui historia wewe.Hitler alichukuwa nchi ikiwa hohehahe kiuchumi,ila alitengeneza na kuimarisha uchumi mpaka ujerumani ikawa number moja duniani.Alichokosea ni kutaka kutawala ulaya yote akapata resistance na ujerumani ikaporomoka tena because of that Second World War ,other wise Germany ingeendelea kuwa numero uno kiuchumi dunia nzima.
Ushasema 'alichokosea'........Hivi unajua Hitler aliua wajerumani wangapi waliompinga?

Hata hivyo Hitler ni bora, huwezi kumlinganisha na viongozi wa Africa.
 
Ushasema 'alichokosea'........Hivi unajua Hitler aliua wajerumani wangapi waliompinga?

Hata hivyo Hitler ni bora, huwezi kumlinganisha na viongozi wa Africa.
Hitler ni bora mno,aliboresha sana uchumi.Pamoja na ubabe wake mbele ya mataifa mengine ya ulaya,by the way mbona alikuwa kishachukua ulaya yote,sema tu marekani,Japan na nchi zingine zikapigana against Hitler.
 
Mbona mnawaza sana na hofu nyingi,,,, yeyote atakayeingia kihalali ikulu atalindwa na vyombo vya dola,,,, vyombo hivyo vinaapa kulinda mamlaka halali za kiraia zilizowekwa na wananchi,,, kifupi tuache kuhisi vitu visivyowezekana ati kisa tu ndani ya CCM imewezekana,,,,,, labda angefanya JK labda angesumbua mana alipendwa sana na regime nzima ila sio sahivi! Pia watu wametulia kwa kuwa utaratibu unafuatwa,,,,, acheni mawazo hayo watu sio waoga namna mnavyohisi nyie.....
Tatizo siyo hofu wala wasiwasi.
Nilichofanya ni kuangalia uwezekano wa kutokea jambo ambalo halijawahi kutokea.Wengi mtaona kwamba ni hofu ya kutokea kitu kilicho unrealistic lakini in case kwamba imetokea ndipo tutakapoanza kusema haya ni mapya kwetu.
 
Hitler ni bora mno,aliboresha sana uchumi.Pamoja na ubabe wake mbele ya mataifa mengine ya ulaya,by the way mbona alikuwa kishachukua ulaya yote,sema tu marekani,Japan na nchi zingine zikapigana against Hitler.
Sioni ubaya wa Hitler zaidi ya kuua wayahudi pamoja na kuvamia Poland na Russia.Hivyo Hitler hafit kuwa mfano mbaya wa dikteta.
 
Uwepo wa mtu mweusi katika hii dunia ni wa bahati mbaya tu na ni siwa na uwepo wa kitu mahala ambapo si pake(ucha...fu).
Watu wote tuna asili moja.......Mazingira ndio yamesababisha kuwepo kwa watu wa rangi tofauti.
 
Acha chuki MKUU.....so far MAGUFULI he is the best PRESIDENT.....MZEE wa watu anajionyesha kabsa ana dhamira ya DHATI kabsa na nch hii.....SEMA tu ni wapuuzi wachache mnayaona mabaya tu ya MAGUFULI

Kwahiyo wewe hatua anazochukua za kubana uhuru wa watu kutoa na kupokea habari, zima bunge LIVE, zima mikutano ya kisiasa, kamatakamata, kupita bila kupingwa 2020, nk...bado ni "best president"...? Au anaelekea kwenye urais wa kudumu kama mdau wa mada anavyohoji?? Ni watu wa fikra kama zako ndio hupandikiza na kulea madikteta nchini mwao.
 
Katiba inamzuia...na aliapa kulinda katiba! Wenzake huwa wanang'ang'ania kwanza kubadili katiba, jambo ambalo linahitaji ushiriki wa wananchi! Wananchi wanaweza kumzuia.
 
kwa akili zenu ndogo hamuwezi kumfanya lolote , uwezo wenu ni kunadika meseji tu! na kumsema Makonda tu
 
Wakuu wa baraza salam!

Huu ukanda wa maziwa makuu umejaliwa kuwa na marais ving'ang'anizi wa madaraka. Marais wasiojua kama kuna ukomo wa madaraka. Marais kama Kabila, Kagame, Nkurunziza, Mseveni, ni marais wanaosigina katiba za nchi zao ili waendelee kukaa madarakani pengine hadi watakapokumbana na kifo.

Sasa nauliza, Je rais Magufuli akiamua kuwa rais wa maisha kwa Tanzania kuna wa kumzuia? Mambo yanayotokea hivi sasa si maandalizi ya kuwa rais wa maisha? tumeshaona jinsi alivyobinya katiba kwa kuzuia shughuli halali za kisiasa zinazoruhusiwa na katiba hadi pale atakapotaka yeye.

Tumeshaona jinsi sheria za kuminya uhuru wa kuhabarika zilivyopitishwa kwa haraka. Tumeshaona jinsi wapinzani wanavyosumbuliwa na kesi sawasawa na kina Besigye, na sasa hivi ameelekeza mapambano dhidi ya wapinzani wake ndani ya CCM pamoja na kuwatisha wale wanaopingana naye.

Je ana mpango wa kutengeneza CCM yenye kuitika ndio mzee ili ajitwalie uenyekiti wa chama wa kudumu utakaomwezesha kuwa rais wa maisha?

Tuvute picha kwamba amebadili katiba ili aendelee kubakia madarakani hadi kifo, je raia wa Tanzania wana ubavu wa kumzuia au watakaa kimya kama walivyofanya baada ya kubinywa uhuru wa habari hasa kwa kuzima bunge LIVE pamoja na kupitisha sheria zinazofikiriwa kuminya uhuru wa kujieleza?.Je vyama vya upinzani vina nguvu za kumkemea na hata kumzuia? Je jumuhia za kimataifa zitamzuia au zitachukulia poa kwa kutoa vikwazo 'vyepesi' kama zifanyavyo kwa nchi zenye marais wa kudumu?

Je watanzania wameshajiandaa kisaikolojia kuishi kama waganda, warundi au wakongo ambao wanatawaliwa na marais wasiojua wataachia madaraka lini?
Je tumeshajiandaa kumwona Rais akitimiza mika 30 au 40 akiwa madarakani kama alivyofanya yule role model wake wa Libya?

Je rais Magufuli akiamua kuwa rais wa maisha kuna wa kumzuia?
Sisi wengine tumependekeza tusisubiri hadi 2025 bali tumeisha pendekeza, tubadili katiba tuondoe ukomo angalau akae miaka 20 kisha Makonda ampokee.

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Paskali
 
acha hofu na maneno ya kusadikika. utaratibu utafuatwa kama nchi ilivyokubaliana.
Nilitegemea ungetoa mfano wa NYERERE aliyeyaacha madaraka unaenda kukusanya unaowapenda ili utoe vitu vinavyoshabihiana na ndoto zako mufirisi.
Nyerere alibwaga manyanga baada ya nchi kumshinda,mtu katawala miaka 27 unasema eti kaacha madaraka.Ungetolea mfano wa Mandela aliyesota jela miongo miwili na akawa raisi muhula mmoja akangatuka.Nyerere hakuwa na jinsi alitoka kishingo upande baada ya kuingiza nchi kwenye hali mbaya ya kiuchumi kutokana na policy zake zilizofeli,zilitakiwa zifanyike reform ambazo hakuweza kuzifanya kutokana na ego yake na ule msemo wake wa "siwezi geuka nyuma niwe jiwe la chumvi" akaone bora angatuke aingie mwinyi.
Nachukia sana watu wanapompa nyerere sifa zisizokuwa zake.
 
156c98e9186de1d664aef05b479b5324.gif
a13d4e4be411f65eff167e2a038e055f.jpg
90a35de7dd72579a3ade9b63cec51859.jpg
 
Back
Top Bottom