Magufuli is simply lost;badala ya kuhangaika na kiwanda cha Dangote kufungwa yeye anavutiwa na kigodoro cha Mama Salma duh...kweli jogoo wa shamba hawiki mjini!
Magufuli akanusha kwamba mshahara wake kwa mwaka ni shilingi 403 million. Magufuli akanusha kwamba katika mshahara wake wa milioni 403 million hakatwi kodi sasa amesema ataitoa salary slip yake hadharani ili kuonyesha kwamba mshahara wake kwa mwaka haufiki hata milioni 110 na kodi unakatwa kila mwezi.
Magufuli is simply lost;badala ya kuhangaika na kiwanda cha Dangote kufungwa yeye anavutiwa na kigodoro cha Mama Salma duh...kweli jogoo wa shamba hawiki mjini!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.