Rais Magufuli akamlisha zoezi la kuwapandisha vyeo Mahakimu wanaofunga wapinzani..aliyemfunga Sugu nae kuwa JAJI

kasenene

JF-Expert Member
Jun 6, 2008
1,632
2,413
Unaweza kuwadanganya watanzania mda fulani lakini huwezi kuwafanya wajinga mda woote....Hatimae yule Hakimu aliyemfunga Sugu nae ameingia katika mkumbo ule ule wa kupandishwa cheo na kuwa jaji (Jiwe kaagiza aletewe jina lake kati ya wale wanaopendekezwa kuwa majaji)....kama mwenzake yule aliyewafunga wakina Mbowe....mara hii wamepitia mgongo wa kakesi fulani kule Mbeya ka "kulawiti" Kauli mbiu ya leo...Mie nawapenda watanzania woote bila kujali vyama vyao...ogopa mtu mnafiki siku zoote bora mchawi...Ehe mora liongoze Taifa Letu...
 
nilijua tu haiwezekani eti mtu anatumikia jela halafu mama anajitokeza kulia lia kumbe ilikua imepangwa
 
Huo mpango ulikuwa umeandaliwa mapema, kesi iliisha isha siku nyingi lakini Leo mama kajitokeza kulalamika, huku ni kufanya siasa kujenga Imani kwa wana Mbeya ambao hawaitaki ccm
 
Unaweza kuwadanganya watanzania mda fulani lakini huwezi kuwafanya wajinga mda woote....Hatimae yule Hakimu aliyemfunga Sugu nae ameingia katika mkumbo ule ule wa kupandishwa cheo na kuwa jaji (Jiwe kaagiza aletewe jina lake katika wale waanopendekezwa kuwa majaji)....kama mwenzake yule aliyewafunga wakina Mbowe....mara hii wamepitia mgongo wa kakesi fulani kule Mbeya ka "kulawiti" Kauli ya mbiu ya leo...Mie nawapenda watanzania woote bila kujali vyama vyao...ogopa mtu mnafiki siku zoote bora mchawi...Ehe mora liongoze Taifa Letu...
baada ya kazi malipo
 
umesema huyo hakimu kapandishwa kuwa jaji kwa sababu ya kumfunga Sugu, swali:
1. Sugu alifanya kosa au hakufanya?
2. Kwa nini, hakumpandisha cheo kipindi kile mpaka lilipotokea tukio hilo lingine ndio akampandisha?
3. unataka kutuambia tukio la ulawiti wa mtoto lilikuwa 'staged' ili kumpandisha cheo hakimu?
4.mbona Lijuakali naye aliwekwa ndani, vipi hakimu aliyemuweka ndani kawa jaji tayari?
 
Huo mpango ulikuwa umeandaliwa mapema, kesi iliisha isha siku nyingi lakini Leo mama kajitokeza kulalamika, huku ni kufanya siasa kujenga Imani kwa wana Mbeya ambao hawaitaki ccm
Mie sina tatizo na hilo shida yangu ni pale Muhimili wa Mahakama ambao kwetu ni kama "last resort" au kimbilio la mwisho la wanyonge unapogeuzwa kuwa "dhaifu" au tawi la Lumumba..tumekwishaa..tumefikia hatua majaji wanateuliwa kama wanavyoteuliwa mabalozi wa nyumba kumi kumi??
 
Ndio mbinu yake ya kukuza uchumi na ustawi wa jamii yetu.
Tusimlaumu
 
umesema huyo hakimu kapandishwa kuwa jaji kwa sababu ya kumfunga Sugu, swali:
1. Sugu alifanya kosa au hakufanya?
2. Kwa nini, hakumpandisha cheo kipindi kile mpaka lilipotokea tukio hilo lingine ndio akampandisha?
3. unataka kutuambia tukio la ulawiti wa mtoto lilikuwa 'staged' ili kumpandisha cheo hakimu?
4.mbona Lijuakali naye aliwekwa ndani, vipi hakimu aliyemuweka ndani kawa jaji tayari?
Mimi sitaki kukuaminisha kitu wewe..ila wenye akili wanaelewa bila kuaminishwa nini nilichoandika...sasa ulitaka ampanidishe siku ile kwa kigezo kipi? Lijuakali ana"impact" gani katika kuvuruga mipango mizima ya kumpa "betina a.k.a sura mbaya" jimbo la mbeya mjini kama asante kwa kuvuruga utaratibu wa kuchunga kura katika uchaguzi mzima wa 2015...sijui kama umenielewa
 
Mie sina tatizo na hilo shida yangu ni pale Muhimili wa Mahakama ambao kwetu ni kama "last resort" au kimbilio la mwisho la wanyonge unapogezwa kuwa "dhaifu" au tawi la Lumumba..tumekwishaa..tumefikia hatua majaji wanateuliwa kama wanavyoteuliwa mabalozi wa nyumba kumi kumi??
Well said!Madaktari wanaokoa watu kila siku lkn hatusikii kupewa hats laki tano.
 
Una maana yule aliyelawiti ni wa Chadema? Maana Magu kaagiza hakimu aliyemfunga maisha nae apendekezwe u jaji.
 
Usishabikie mambo ya siasa kama vile ni Yanga na Simba. Rais hana mamlaka ya kupendekeza jina la hakimu kupeleka kwake ili akawe Jaji. Majina yanapendekezwa na Tume Huru ya Mahakama. Ndio utaratibu. Lakini huyu mshamba wenu ameweka katiba pembeni. Yeye ndiye kila kitu sasa. Kikatiba kazi yake ni kuthibitisha mapendekezo ya Tume ama kuyakata. Siyo yeye mwenyewe kupendekeza. Tena anapendekeza kwenye TV. Ni mshamba kweli kweli... Na kama Tume ya Maadili itakuwa yenye maadili, amemwaribia sana huyo hakimu. Hatokuja pendekezwa hata siku moja ili Tume isionekane inafanyakazi kwa maelekezo ya Rais.
Una maana yule aliyelawiti ni wa Chadema? Maana Magu kaagiza hakimu aliyemfunga maisha nae apendekezwe u jaji.
 
umesema huyo hakimu kapandishwa kuwa jaji kwa sababu ya kumfunga Sugu, swali:
1. Sugu alifanya kosa au hakufanya?
2. Kwa nini, hakumpandisha cheo kipindi kile mpaka lilipotokea tukio hilo lingine ndio akampandisha?
3. unataka kutuambia tukio la ulawiti wa mtoto lilikuwa 'staged' ili kumpandisha cheo hakimu?
4.mbona Lijuakali naye aliwekwa ndani, vipi hakimu aliyemuweka ndani kawa jaji tayari?
Kesi ilishia pazuri kana kwamba huyo mama alilidhika.ivi unajua madhara ya kubakwa tena kwa kulawitiwa wewe,halafu huyo aliyemlawiti unamuona anadunda tu mtaani.Unajua huyo mama amepitia njia zipi kupata haki zake bila mafanikio.umesafiri kutoka mkoa mwingine pindi tu aliposikia rais anaziara mbeya ili kumueleza unyama aliofanyiwa eti upo hapa kumfananisha na kesi ya sugu.mpumbavu sana wewe.embu kwenye familia yako atokee mtu apate tatizo hilo alafu uje uandike ujinga kama huo uliouandika.
 
Unaweza kuwadanganya watanzania mda fulani lakini huwezi kuwafanya wajinga mda woote....Hatimae yule Hakimu aliyemfunga Sugu nae ameingia katika mkumbo ule ule wa kupandishwa cheo na kuwa jaji (Jiwe kaagiza aletewe jina lake kati ya wale wanaopendekezwa kuwa majaji)....kama mwenzake yule aliyewafunga wakina Mbowe....mara hii wamepitia mgongo wa kakesi fulani kule Mbeya ka "kulawiti" Kauli ya mbiu ya leo...Mie nawapenda watanzania woote bila kujali vyama vyao...ogopa mtu mnafiki siku zoote bora mchawi...Ehe mora liongoze Taifa Letu...
kwako kulawiti ni kakesi kadogo, pumbafu sana
 
Usishabikie mambo ya siasa kama vile ni Yanga na Simba. Rais hana mamlaka ya kupendekeza jina la hakimu kupeleka kwake ili akawe Jaji. Majina yanapendekezwa na Tume Huru ya Mahakama. Ndio utaratibu. Lakini huyu mshamba wenu ameweka katiba pembeni. Yeye ndiye kila kitu sasa. Kikatiba kazi yake ni kuthibitisha mapendekezo ya Tume ama kuyakata. Siyo yeye mwenyewe kupendekeza. Tena anapendekeza kwenye TV. Ni mshamba kweli kweli... Na kama Tume ya Maadili itakuwa yenye maadili, amemwaribia sana huyo hakimu. Hatokuja pendekezwa hata siku moja ili Tume isionekane inafanyakazi kwa maelekezo ya Rais.
Hivi wewe ulimuelewa rais kweli au unakurupuka tu kama washamba wenzako wa ufipani.
 
Kesi ilishia pazuri kana kwamba huyo mama alilidhika.ivi unajua madhara ya kubakwa tena kwa kulawitiwa wewe,halafu huyo aliyemlawiti unamuona anadunda tu mtaani.Unajua huyo mama amepitia njia zipi kupata haki zake bila mafanikio.umesafiri kutoka mkoa mwingine pindi tu aliposikia rais anaziara mbeya ili kumueleza unyama aliofanyiwa eti upo hapa kumfananisha na kesi ya sugu.mpumbavu sana wewe.embu kwenye familia yako atokee mtu apate tatizo hilo alafu uje uandike ujinga kama huo uliouandika.
nisome taratibu, sijatoa 'statement' yeyote kuhusu mtoto aliyelawitiwa ila nilichofanya ni kuuliza maswali tu
 
Mimi sitaki kukuaminisha kitu wewe..ila wenye akili wanaelewa bila kuaminishwa nini nilichoandika...sasa ulitaka ampanidishe siku ile kwa kigezo kipi? Lijuakali ana"impact" gani katika kuvuruga mipango mizima ya kumpa "betina a.k.a sura mbaya" jimbo la mbeya mjini kama asante kwa kuvuruga utaratibu wa kuchunga kura katika uchaguzi mzima wa 2015...sijui kama umenielewa
huyo fala amekuelewa sana ina anatafuta kick huku.
 
Kama maelezo niliyotoa kuhusu wajibu wa Rais na Tume ya Mahakama katika kupendekeza na kuteua majaji hukuyaelewa basi nasema kwa heri. Kuleta siasa kwenye kitu ambacho kiko wazi kikatiba ni ushamba mwingine. Hili siyo soka kuwa lazima ushabikie timu yako hata kama itafungwa,
Hivi wewe ulimuelewa rais kweli au unakurupuka tu kama washamba wenzako wa ufipani.
 
Kwaiyo wewe unaona kumlawiti mtu ni bongo movie au wewe ndio tabia yako na ndio maana unaona ni ya kawaida.
Eeeee yameisha.

Naona we are not on the same page.

Usijaribu kunilisha maneno bob.

Hayo ni maneno yako.
Kama hujaelewa piga kimya au sema ueleweshe ninachokimaanisha. After all magu hata awe rais wa maisha life lako litabakia ndani ya juhudi zako.
Ya no damn anybody
 
Back
Top Bottom