Mkuu habari za miaka? naamini sasa ni waziri au mkubwa FulaniAmevimba macho baada ya kulia sana kanisani.
Mungu yupi?labda mungu wa darisalaam.Magufuli ni chaguo la Mungu.
Nipo mkuu. Nipo kahawani hapa Lumumba nasogeza maisha. KaribuMkuu habari za miaka? naamini sasa ni waziri au mkubwa Fulani
Chopa au bombadierjamaa alisafiri kwa gari na karudi na chopa
Naomba ufanunuzi kidogo hivi "Mama Bashite" ni jina na mtu anaweza kulitumia kugombea udiwani kutumia jina hilo..?Hao kina James Sianga hawaendi kwenye ibada? Acha zako!! Ameomba poo anajipanga kuomba apumzike! Serikali ni mfumo hata ukibebwa kama ki kitu kiko wazi hivi hakuna jinsi lazima aende tuuu!!! Serikali haina ubia na mtu mwenye makosa tena ya Jinai!!! Ameibukia kanisani Kimara (Bashite).....ni aibu sana maana watu wanaunganisha dots atashindwa apambane na nani amuache nani!!! Kama Mama yake......aliwahi kugombea udiwani kwa majina ya Mama Bashite haina jinsi tena!! Fuatilia mwanahalisi week ijayo..kila kitu waziii
subiri kesho utaonabora iwe kweli aiseehh
weee nimeamka hapa ninyonyeshe nimekuona rafiki upo? leo unamkana makonda wakati mlikuwa mnakula pamoja? .teh tehAmevimba macho baada ya kulia sana kanisani.
unamkana boss wako?Amevimba macho baada ya kulia sana kanisani.
Hahaahahah...... Sijamkana, mimi na yeye ndugu moja. Nimekuwa naye kisiasa na mpaka sasa nipo naye. Kuvimba macho ni kawaida..weee nimeamka hapa ninyonyeshe nimekuona rafiki upo? leo unamkana makonda wakati mlikuwa mnakula pamoja? .teh teh
nipo bna nanyonyesha hapa si unajua tena kulea wajukuu kazi? vipi lakini ametumbuliwa au bado yupo?Hahaahahah...... Sijamkana, mimi na yeye ndugu moja. Nimekuwa naye kisiasa na mpaka sasa nipo naye. Kuvimba macho ni kawaida..
Vp lakini, za miaka? Nilikumiss sana.
Hongera sana kwa mtoto. Nipo mzima wa kheri kabisa. Nimeongezewa majukumu kwa sasa ndio maana nakosa hata muda wa kuingia humu.nipo bna nanyonyesha hapa si unajua tena kulea wajukuu kazi? vipi lakini ametumbuliwa au bado yupo?
Kama uteuzi wa Salma Kikwete haukuzima huu moto ujue Bashite anakwenda na maji....Mmeshatolewa kwenye reli hapo, Najua Watanzania watatumia zaidi ya siku 3 kujadili kwa nini Rais Magufuli apokelewe na Kaimu Mkuu wa Mkoa badala ya Mkuu wa Mkoa.
sio mtoto watoto.asante . bashite kesho atakuwepo ofsini au utakaimu?Hongera sana kwa mtoto. Nipo mzima wa kheri kabisa. Nimeongezewa majukumu kwa sasa ndio maana nakosa hata muda wa kuingia humu.
Hongera sana. Kwa kweli wanastahili kuwa watoto cuz its like 6 years sijakusikia. Mimi simfahamu Bashite ni nani!!sio mtoto watoto.asante . bashite kesho atakuwepo ofsini au utakaimu?