Magufuli anamuogopa sana Kikwete sijui kwa nini
Pia dallini kulikuwa na kaleee. ..kamtambo toka sumbawanga
Heeee inamaaana alikua hajakabdhiwa ofisi. Duuuuh nnji hii!!!!
Sifa nyingine bwana?Hata Magufuli atashangaa kusikia kuna mtu anamuita gentleman!!!!
Wiki ijayo anaweza kurudi na kutaka kukabidhi funguo; well... kazi na dawa.
Naona anakohoa kohoa kizushi huku anacheka. Labda anajua nni kinaendelea!!!
Wiki ijayo anaweza kurudi na kutaka kukabidhi funguo; well... kazi na dawa.
daud Mchambuzi hebu nisaidie jambo moja. Kama ulisikiliza hafla ile, nilishangazwa sana na JK na sikumwelewa pale aliposema " wananchi wanafurahishwa na unavyoshtukiza maeneo ya kazi, kama ulivyofanya pale MOI na nasikia kwenye media ile mashine inafanya kazi ........"Baada ya kukausha hazina.
Ukiangalia video clip, kuna kicheko Kikwete amecheka alipozungumzia safari za kushtukiza za Magufuli. " Nimesikia kwenye media kipimo cha MRI kinafanya kazi na watu wana msisimko. Ukifanyafanya namna vile, utasaidia sana kutatua matatizo tkhethe..(anacheka kicheko cha kiaina huku akiangalia chini) yanayowakabili.. yanayowakabili wananchi wa Tanzania.
Binafsi alivyocheka kaniacha na maswali mengi.
Wenye uwezo wa kufanya analysis ya vicheko.; kile ni kicheko cha kupongeza, kukebehi, kubeza au kufurahi ?
kwani ni jukwaa la vichekesho hadi useme haichekeshi,au unakitamani kidole cha kati kukikalia bila ya nguo.haichekeshiiiii,,,,