britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,634
- 30,000
- Thread starter
- #21
https://www.jamiiforums.com/threads...a-inaonewa-sana.1095704/page-24#post-24337338Bandiko hili limejibiwa jana. Jamaa anasoma JF
https://www.jamiiforums.com/threads...a-inaonewa-sana.1095704/page-24#post-24337338Bandiko hili limejibiwa jana. Jamaa anasoma JF
Wahaya bhana
Hukusema mkajungutimmh! kwani alikutaja? si hilo wengi tu walisema!!!!
Mkuu Britanicca, ni kweli sio tuu hakuna mwana jf yoyote aliyewahi kuzungumzia Omukajunguti, bali hakuna mwana jf mwingine yoyote anayemjua yule Katto wako.hakuna alowahi sema juu ya uwanja wa kajunguti hata Pascal Mayalla anajua
P.KAGERA KARAGWE NI KWENU KWA MZEE ..., NA JINA LAKO LA KIHAYA NI KATO (wengi hawajui hii),
Mkuu mjadala wa kato nauogopa sana cha muhimu tushirikiane banyamulenge wasiongekeMkuu Britanicca, ni kweli sio tuu hakuna mwana jf yoyote aliyewahi kuzungumzia Omukajunguti, bali hakuna mwana jf mwingine yoyote anayemjua yule Katto wako.
Kupitia bandiko lako hili, Kwanini Chato International Airport na si Omukajunguti international Airport? Kagera inaonewa sana - JamiiForums
wewe ndiye mtu wa kwanza na wa mwisho kutueleza humu taarifa kumhusu Katto!.
P.
Information is power, kitendo tuu cha kumjua Katto ni nani na asili yake halisi ni wapi, it's important info ya sio kukufanya uogope bali kuitumia hiyo info as power gambit kuwa utaitunza bila kuitoa ili nawe utunze!.Mkuu mjadala wa kato nauogopa sana cha muhimu tushirikiane banyamulenge wasiongeke
Ipo siku atakuja kujibu kwamba kato si la kwakeMkuu Britanicca, ni kweli sio tuu hakuna mwana jf yoyote aliyewahi kuzungumzia Omukajunguti, bali hakuna mwana jf mwingine yoyote anayemjua yule Katto wako.
Kupitia bandiko lako hili, Kwanini Chato International Airport na si Omukajunguti international Airport? Kagera inaonewa sana - JamiiForums
wewe ndiye mtu wa kwanza na wa mwisho kutueleza humu taarifa kumhusu Katto!.
P.
HahahaTehe tehe tehe! Dah ha ha ha ha
Anapitaumejuaje kama kapitia
Nasikia na leo kapitia JFMkuu Britanicca, ni kweli sio tuu hakuna mwana jf yoyote aliyewahi kuzungumzia Omukajunguti, bali hakuna mwana jf mwingine yoyote anayemjua yule Katto wako.
Kupitia bandiko lako hili, Kwanini Chato International Airport na si Omukajunguti international Airport? Kagera inaonewa sana - JamiiForums
wewe ndiye mtu wa kwanza na wa mwisho kutueleza humu taarifa kumhusu Katto!.
P.
HakikaSawa utapewa u DC