Ngamanya Kitangalala
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 501
- 1,214
" Nilikuwa nineenda kwenye shughuli za kikazi nchini Panama , nikiwa jijini Panama City, niliingia ndani ya mgahawa mmoja, nilipojitambulisha natoka Tanzania, mmiliki wa mgahawa aliniuliza You come from Tanzania? Tanzania of Magufuli? Magufuli is the king of Africa
Mh Magufuli* ni Rais aliyejijengea heshima kubwa duniani kote, kwa misimamo yake imara, na hatua anazochukua katika kupambana na rushwa"
Mzalendo
Mh Magufuli* ni Rais aliyejijengea heshima kubwa duniani kote, kwa misimamo yake imara, na hatua anazochukua katika kupambana na rushwa"
Mzalendo