Rais Magufuli ajiandikisha kwenye daftari la mpiga kura kitongoji cha Sokoine. Asema amehamia Ikulu ya Chamwino, Dodoma

Rais Magufuli amejitokeza katika kitongoji cha Sokoine jijini Dodoma kwaajili ya kujiandikisha kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Baada ya kujiandikisha, amewaambia wakazi wa eneo hilo kuwa kwasasa yeye ni mwenzao na ameshahamia rasmi kwenye ikulu ya Chamwino. Hivyo yeye ni mwenzao.

Amewaambia wananchi kuwa amehamia Ikulu ya Chamwino ingawa bado haijakamilika rasmi.

Chanzo: Chanel TenView attachment 1230555
Anapenda Uongo huyu, ahamie Dodoma Kimya Kimya Bila kutuonesha kwenye TV? Haiwezekani😀😀
 
kama kuna jambo kubwa ambalo raisi amewamaliza nalo watangulizi wake ni kuhamia rasmi dodoma.kwa hili hana haja tena ya kufanya kampeni.kila mtazania ataikuta serikari kwa safari ya masaa tuu toka kote katika hii Jamhuri.
 
kama kuna jambo kubwa ambalo raisi amewamaliza nalo watangulizi wake ni kuhamia rasmi dodoma.kwa hili hana haja tena ya kufanya kampeni.kila mtazania ataikuta serikari kwa safari ya masaa tuu toka kote katika hii Jamhuri.
WaTZ sisi ni very cheap kwa hiyo na we unaamini kwamba magufuli kaamia Dodoma!! Uraisi una mambo mengi kubwa zaidi ya yote ni usalama, DOM usalama kwa rais ni mdogo mnoo..
 
Unafki mbaya sana
Sitakaa nipige kura,nimepiga kura sii zaidi ya mara 3 wameiba ccm na serikali yao,waamue watakavyo,,,nipo tayari,,,nasubiri Mungu ajibu maombi yangu.FULL STOP🛑
 
Daah nimewaona wana-nzengo wa hapo jirani na ikulu ya Magu hapo dom daah wanatia huruma sana na walikua wanatoa kero wanasema hawana maji mtaa huo.
WaTZ sisi ni very cheap kwa hiyo na we unaamini kwamba magufuli kaamia Dodoma!! Uraisi una mambo mengi kubwa zaidi ya yote ni usalama, DOM usalama kwa rais ni mdogo mnoo..
 
Rais Magufuli na mke wake mama Janeth leo wamejiandikisha katika uchaguzi wa serikali za mitaa pale mtaani kwake Chamwino katika kitongoji cha Sokoine mjini Dodoma.

Rais Magufuli ambaye amefika mtaani kwake akitokea ziarani Mpanda imemlazimu kupanga foleni baada ya kuwakuta jirani zake wakiwa katika mstari wakiendelea kujiandikisha.

Bado siku 2 hima hima watanzania tukajiandikishe

Source Channel ten tv
Maendeleo hayana vyama!
Haituhusu
 
kama kuna jambo kubwa ambalo raisi amewamaliza nalo watangulizi wake ni kuhamia rasmi dodoma.kwa hili hana haja tena ya kufanya kampeni.kila mtazania ataikuta serikari kwa safari ya masaa tuu toka kote katika hii Jamhuri.
Tukuulize Wewe kwa mfano utaenda Dodoma kufanya nini? What does kuhamia Dodoma kunakusaidia wewe?

Watu tunawaza kuimarisha teknolojia ya mawasiliano Ili kusiwe Na Ulazima wa Kusafiri Wewe Na Rais Wako Bado mnawaza Kuwa Watu wasafiri kufuata huduma dodoma...

Ama kweli tunaongozwa na washamba flan hivi, Watu wa Malimali huko😀😀
 
Rais Magufuli na mke wake mama Janeth leo wamejiandikisha katika uchaguzi wa serikali za mitaa pale mtaani kwake Chamwino katika kitongoji cha Sokoine mjini Dodoma.

Rais Magufuli ambaye amefika mtaani kwake akitokea ziarani Mpanda imemlazimu kupanga foleni baada ya kuwakuta jirani zake wakiwa katika mstari wakiendelea kujiandikisha.

Bado siku 2 hima hima watanzania tukajiandikishe

Source Channel ten tv
Maendeleo hayana vyama!
Atapiga kura mwenyewe. Sisi hatutaki. We have more important things to do...
 
Hivi umewahi pitia hoja za kuhamishwa mji mkuu kwenda Dodoma za wakati huo?

It's extremely foolish to raise them now. People will laugh you off.

The main premise behind the move to Dodoma was the implementation of the Ujamaa policies.
It's informative even to review the original plans for the city of Dodoma by the contracted Canadian firm.
Dodoma was designed to be a big Ujamaa village. It's remarkable.
There is absolutely no reason for moving to Dodoma today apart from the fact that one can.

Atakuja mwingine. Na yeye ataweza. It will be interesting to see if the decision can survive.
Sasa, baada ya Jiwe/Senzo kuupata urais kwa ngekewa, maana alikuwa anajaribisha sasa kimbunga cha JK kumsaliti mwandani wake Lowassa ambao walikuwa wamekubaliana kuachiana urais, basi jiwe alishinda na alikuwa hajajindaa kuwa raisi.
aliposhinda tu, aliingia ikulu na ilikuwa hakukaliki, inasemekana DAB-DAUDI ALBERT BASHITE alifanya mawasiliano na "Gambosh" wa huko Itilima, na Simiyu na Sumbawanga, wakaja kuagua na kuzindika upya, jiwe ndio akaweza kulala maana mwanzo alikuwa anajikuta baharini, baada ya hapo akaona bora kujihamishi Dodoma, akalazimisha na watu wengine waende huk0.
Sasa, Shetani ni mwongonna ni baba wa huo, huenda nako dodoma kumezindikwa, maana kama ziara ya kusini alikuwa anazunguka na ma-gamboshi ndio wanafungua mikutanonkwa sala, itashindikana kuwa wao ndio wamezindika nyumba nyeupe ya Dodoma? no one knows, tunahisi tu.

Je, unajua sababu ya Bashite kutofukuzwa pamoja na kufanya ujinga kuliko viongozi wote waliopata kutokea?
 
Back
Top Bottom