Anahamasisha kujiandikisha
Sahihi mkuu kuhamia dodoma tungeona kurugenzi ya mawasiliano ikulu ingetoa taarifaWala hiyo sio sababu ya kuonyesha kwamba kahamia Dodoma..
Rais Magufuli amejitokeza katika kitongoji cha Sokoine jijini Dodoma kwaajili ya kujiandikisha kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Baada ya kujiandikisha, amewaambia wakazi wa eneo hilo kuwa kwasasa yeye ni mwenzao na ameshahamia rasmi kwenye ikulu ya Chamwino. Hivyo yeye ni mwenzao.
Amewaambia wananchi kuwa amehamia Ikulu ya Chamwino ingawa bado haijakamilika rasmi.
Chanzo: Chanel TenView attachment 1230555
Karibu Dodoma Tata Mkulu!Rais Magufuli amejitokeza katika kitongoji cha Sokoine jijini Dodoma kwaajili ya kujiandikisha kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Baada ya kujiandikisha, amewaambia wakazi wa eneo hilo kuwa kwasasa yeye ni mwenzao na ameshahamia rasmi kwenye ikulu ya Chamwino. Hivyo yeye ni mwenzao.
Amewaambia wananchi kuwa amehamia Ikulu ya Chamwino ingawa bado haijakamilika rasmi.
Chanzo: Chanel TenView attachment 1230555
Rais Magufuli amejitokeza katika kitongoji cha Sokoine jijini Dodoma kwaajili ya kujiandikisha kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Baada ya kujiandikisha, amewaambia wakazi wa eneo hilo kuwa kwasasa yeye ni mwenzao na ameshahamia rasmi kwenye ikulu ya Chamwino. Hivyo yeye ni mwenzao.
Amewaambia wananchi kuwa amehamia Ikulu ya Chamwino ingawa bado haijakamilika rasmi.
Chanzo: Chanel TenView attachment 1230555
Keshafika Dom tayari? Sialikuwa ufipa? Hakyamungu nchi hii inajengwa, kaendaje kutoka huko sumbawanga?Niko nae tayari kashasaini ila yule muhudumu alikuwa anajishtukia sana hadi kalamu kidogo ashindwe kuishika
Unauliza makofi polisiNadhani uchaguzi huu ushindi utakuwa wa % kwa Chama tawala.
Naona wenyewe ndio wanaojiandikisha.
Ile ruti ya Katavi kumbe iliuwa ya kumchukua mheshimiwa