Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,395
Rais Magufuli awaaga rasmi waliokuwa Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Mipango(President Delivery Bureau - PDB) ambao wamehamishiwa katika Taasisi nyingine za Serikali.
Wafanyakazi hao ndio waliokuwa wakisimamia Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa(Big Results Now - BRN).
Wafanyakazi hao ndio waliokuwa wakisimamia Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa(Big Results Now - BRN).