HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,361
- 94,539
Tanzania bado watu tuna akili ndogoHuu ni upumbavu... Anapotosha.
Vile Wabongo shule ndogo..huamini kila kitu.
Tanzania bado watu tuna akili ndogoHuu ni upumbavu... Anapotosha.
Vile Wabongo shule ndogo..huamini kila kitu.
We naye ni mmoja wa wajingaSasa hivi EFM & TVE, CLOUDS, ITV, RADIO ONE, EATV, WASAFI, RADIO MARIA, zipo nje kidogo ya jiji la dar es salaam halafu RADIO TUMAINI NA TI FM zipo katikati ya jiji la Dar es salaam pale Tabata Magengeni ambapo wakazi wake wanakula mihogo iliyoiva na mibichi wanasinzia mchana kutwa.
Unalazimisha hoja yako ya kipuuzi na kijinga ikubalikeHoja duni sana !
With a lots of thanks naomba tuwekee ukweli wenyewe hapa tufahamu kwa undaniUkiacha uongozi tu , Jaffo ana uwezo gani wa kutuzidi sisi wakati ukweli wote uko wazi kabisa ?
Umesahau kusema hili, hata wamachinga wote wapo IlalaTusipotezeane muda na wala tusibishe kwa hili Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli yupo sahihi kwani Ilala ndiyo Dar es Salaam na Tanzania vile vile. Na hata Watoto wa Mjini wote wapo Ilala na siyo Kwingineko ambako kumejaa tu Washamba na Malofa watupu japo wenyewe ( wao ) wanajiona Wajanja.
Umeiweka vizuri mkuu, ninakushukuru lililofanywa lina faida nyingi kwa uchache:-Dsm ilikuwa inaundwa na manispaa nne kinondoni, Ilala, Ubungo na Kigamboni
Halmashauri ya jiji la dsm ilikuwa inasimamia halmashauri za manispaa zote nne lkn haina eneo lake rasmi la kiutawala, halmashauri ilikuwa na uwezo kuuchukua mradi wowote katika manispaa yyte na kuendeleza na kugawana manispaa inayopatikana mradi kwa utaratibu maalum, hvyo alichokifanya ni sahihi tu.
Mwembeyanga ipo Dsm?Ndio mkuu , ila niko nje ya jiji huku Tandika Mwembeyanga
HaijalishiChanika iwe jiji Mbezi Beach iwe mikoani !
Moshi kamwe haiwezi kua Jiji hata kama ina vigezo, Jiwe hawezi kubali hilo labda akutoka madarakaniNdugu zangu Wachagga hapo Kimara walikuwa wanaaga kila January kuwa wanarudi jijini Dar sasa watakuwa wanaenda Wilaya ya Ubungo wakati ndugu zao pale Moshi watakuwa jijini soon
Huna akiliKama umeelewa wewe ni vizuri nadhani utawaelimisha na BAVICHA hapo Ufipa
Hapana.manispaa zingine zinabaki kama zilivyo ila ilala ndio itakua jiji sasa.Ina maana Ilala itasimamia pia manispaa hizo nyingine ?
Bakhresa anaishi wapi?Tusipotezeane muda na wala tusibishe kwa hili Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli yupo sahihi kwani Ilala ndiyo Dar es Salaam na Tanzania vile vile. Na hata Watoto wa Mjini wote wapo Ilala na siyo Kwingineko ambako kumejaa tu Washamba na Malofa watupu japo wenyewe ( wao ) wanajiona Wajanja.
Hivi wabongo mna shida gani hasa. Why bad blood always towards each other. Nlidhani as country we're truly related in one way or other. Kipi kinakuwa kizito kuchukia mtu ambae anacriticise kitu cha nchi yake aweze elewa. Kipi kinakuumiza kutumia nguvu ya kutukana watu ambao hujui hata kusema wengine ni wakubwa kwako humu au wana nafasi fulani hata kwa Mungu. Unapata faida gani hasa ukimchukia m2 ambae hata ID yake ni fake? 2badilike jamani kuhoji sio kosa kisheria wala dhambi. Kutukana je? Jenga hoja elewesha watu waelewe hata kama hawataelewa jaribu mpaka utakapo ona yafaa.