SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 7,076
- 6,676
Kazi kweli kweli. Isije kutokea wale washabiki wa " tumejenga SGR, tumenunua ndege barabaraba kilomta mraba nyingi tu..n.k...wakaongeza na hili ya kuwa sasa anajenga jiji la Dar-es-Salam "ilala".
Mkumbuke waliahidi kuuza majengo mengi ya serikali ambayo yalikuwamo katika "Wilaya" ya Ilala.
Je, yaliyojiri yata rahisisha au?
Mkumbuke waliahidi kuuza majengo mengi ya serikali ambayo yalikuwamo katika "Wilaya" ya Ilala.
Je, yaliyojiri yata rahisisha au?