sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 8,076
- 7,448
View attachment 1711149Chanika kuna tofauti gani na Ddma
View attachment 1711149Chanika kuna tofauti gani na Ddma
Unauliza Viazi Mkadage Morogoro?Kwa vile upo ilala au
Makao Makuu ya Mamlaka ya Bandari yako Ilala; halaf bandari ya Dar es Salaam iko Temeke😂Bandari iko Temeke au kigamboni? Au ni Ilala
Yeye anasema jiji la ILALA wewe unasema jiji la Dar, bado hujamwelewaKIUFUPI..mkoa wa DSM utabaki kuwepo na JIJI LA DSM litaendelea kuwepo ila tu kiutendaji, Ilala itakuwa inafanya majukumu ya mkoa mzima ndio maana imepandishwa hadhi kuwa Halmashauri ya Jiji...BINAFSI NIMEMUELEWA RAIS.
Hilo pia lingewezekanaKwanini hawakuvunja Halmashauri za Manispaa ikabaki jiji alone ?
Hizo zote ni daraja za Halmashauri kijana:- kijiji, mji mdogo, mji, Wilaya, manispaa na jiji na hiyo ni taaluma inatolewa chuo kikuu tatizo wabongo wajuajiHii elimu ya jiji,mji, manispaa na halmashauri mbona ilitolewa shule ya msingi
Ndio shida ya kusema logarithm ilikuwa inasaidia nini matokeo yake mnakuja kutusumbua
Nimekusoma mkuuHapa tunashindwa kuelewa, kwa mfano Mwanza mjini (kati) kuna wilaya mbili ambazo ni Nyamagana na Ilemela.
Ilemela imepewa hadhi ya kuwa manispaa ya Ilemela, lakini hakuna Manispaa ya Nyamagana badala yake Nyamagana imebeba hadhi ya Jiji la Mwanza.
Katika matukio yote ukisikia wanaongea jiji la Mwanza maana yake wanaongelea wilaya ya Nyamagana na sio mkoa wote.
We endelea kusema washamba akati ndo matajili hapa mjini wewe kazi yako kukaa nyuma ya keyboard unatukana tuuMliokuja Dar es Salaam na Malori ya Ng'ombe pamoja na Treni za Mizigo kutokea Mikoani ( tena Vijijini kabisa ) wala huwa hamjifichi. Washamba wakubwa nyie. Ilala ndiyo Dar es Salaam na Tanzania hutaki tafuta Sumu ya Panya ikoroge, uinywe ili Ufe kabisa.
kiazi wewe nani karopokwa...hujasoma hapo mwanzoni nilivyoandika?....'ila ikiwa nimetoa maelezo yasiyo sahihi, mwenye uelewa zaidi atafafanua'...Unakuja unatumia lugha za hasira na kupaniki...kuwa mstaarabu kiazi wewe...Sio kweli, hujui Tafsiri ya local government, na hujui maana ya Area of jurisdiction ' Mkoa mzima ni jukumu la Mkuu wa Mkoa Halmashauri huwa ina jukumu la kuhudumu ndani ya enao lake la kiutawala tu, na Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam haikuwa hivyo kama usemavyo isipokuwa ilikuwa ili chukua mapato mfano ya parking, taka ngumu, stend ya Ubungo, soko kuu la kkoo n. K muwe mnauliza kama hamjui si kuropokwa
Kubwa ni kutofautisha kati ya Tawala za mikoa na serikali za mitaa, na kuirejea article 145 na 146 katika katiba haya unayoyaeleza wewe ni wazi umetumia uelewa binafsi na si wa kitaalam. HALMASHAURI zina kazi zake ndani ya Tawala za mikoa na zenyewe ndizo sauti ya wananchi ni kama mamlaka iliyopewa bunge kutusemea wananchi wote Tanzania kupitia wawakilishi pale Dodoma, ni sawa na kusema Tanzania ni Dodoma maana pale ndipo sheria na Bajeti zetu zinapasishwaHapa tunashindwa kuelewa, kwa mfano Mwanza mjini (kati) kuna wilaya mbili ambazo ni Nyamagana na Ilemela.
Ilemela imepewa hadhi ya kuwa manispaa ya Ilemela, lakini hakuna Manispaa ya Nyamagana badala yake Nyamagana imebeba hadhi ya Jiji la Mwanza.
Katika matukio yote ukisikia wanaongea jiji la Mwanza maana yake wanaongelea wilaya ya Nyamagana na sio mkoa wote.
Jiji la Dar es salaam lote hamna kitu nenda Nairobi kwanza ujionee, Dar es salaam inazidi Mikoa ya Tanzania tu, Dar es Salaam bdo sanaTusipotezeane muda na wala tusibishe kwa hili Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli yupo sahihi kwani Ilala ndiyo Dar es Salaam na Tanzania vile vile. Na hata Watoto wa Mjini wote wapo Ilala na siyo Kwingineko ambako kumejaa tu Washamba na Malofa watupu japo wenyewe ( wao ) wanajiona Wajanja.
Mbona sisi tulipigia kura katiba ya Warioba! NA posho juu! Hahahaha!Kwenye nchi za wenzetu mambo kama haya huwa yanapelekwa kwanza kwa wananchi wakayajadili halafu wakayapigie kura kabla ya serikali haijafanya uamuzi. Wakazi wenyewe ndiyo wanaamua kubadilisha status ya mji au sehemu yoyote wanayoishi kupitia kura za maoni au referendum. Sisi bado sana.
Kwa maoni yangu hapakuwa na sababu ya kuvunja Halmashauri ya Jiji kwa kigezo kuwa haikuwa na eneo la utawala. Mimi ningeshauri kuwa badala ya kuivunja maeneo ya utekelezaji yafuatayo yangeondolewa Manispaa na yangekabidhuwa jiji:Rais Magufuli ameivunja Halmashauri hiyo na kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuanzia leo Februari 24, 2021
Ameipandisha hadhi Halmashauri hiyo kwa Mamlaka aliyonayo chini ya Kifungu cha 5(1) cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) Sura ya 288
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa Nchi - TAMISEMI, taratibu nyingine za kisheria ikiwemo kuhamisha shughuli za Halmashauri ya Jiji ya Dar iliyovunjwa zinakamilishwa
View attachment 1711235View attachment 1711236View attachment 1711237View attachment 1711238View attachment 1711239View attachment 1711240