M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Ni dhahiri kuwa Mbowe na Chadema wamezichanga na kuzicheza karata zao vyema sana. Kitendo cha Mbowe kutamka hadharani umuhimu wa maridhiano kati ya serekali na wapinzani kililenga ku draw attention ya sympathizers wa mustakabali wa mwenendo wa kisiasa na utawala bora hapa nchini.
Sympathizers waliolengwa si wengine bali ni wale tuliowabatiza jina la "mabeberu" ambao siku za hivi karibuni wameonekana (inasemekana as a reaction to ile speech ya Mbowe) kuishupalia vilivyo serekali ya awamu ya 5 kuhusiana na siasa kandamizi na ukiukwaji wa haki za binadamu. Ni kipindi hicho hicho pia tumeshuhudia World Bank wakisitisha mkopo unaosemekana ulikuwa ni kwa ajili ya kuchangia maendeleo kwenye sekta ya elimu.
JPM leo kakutana na baadhi ya viongozi wa vyama andamizi vya kambi ya upinzani, definitely ikiwa ni mkakati wa kuwatuliza munkari "mabeberu" wasiendeleze valangati walilolianzisha hivi karibuni.
Whether JPM atafanikiwa kwa mkakati huu, it remains to be seen.
On the other hand, whether wapinzani watalegeza kamba katika madai yao ya msingi ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.... that also remains to be seen.
Nirudie tena kumpongeza Mbowe na Chadema kwa kuchokonoa suala la maridhiano ambapo imepelekea JPM kusalimu amri na leo hii kukutana na viongozi wa opposition camp.
Stay on this page.
Sympathizers waliolengwa si wengine bali ni wale tuliowabatiza jina la "mabeberu" ambao siku za hivi karibuni wameonekana (inasemekana as a reaction to ile speech ya Mbowe) kuishupalia vilivyo serekali ya awamu ya 5 kuhusiana na siasa kandamizi na ukiukwaji wa haki za binadamu. Ni kipindi hicho hicho pia tumeshuhudia World Bank wakisitisha mkopo unaosemekana ulikuwa ni kwa ajili ya kuchangia maendeleo kwenye sekta ya elimu.
JPM leo kakutana na baadhi ya viongozi wa vyama andamizi vya kambi ya upinzani, definitely ikiwa ni mkakati wa kuwatuliza munkari "mabeberu" wasiendeleze valangati walilolianzisha hivi karibuni.
Whether JPM atafanikiwa kwa mkakati huu, it remains to be seen.
On the other hand, whether wapinzani watalegeza kamba katika madai yao ya msingi ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.... that also remains to be seen.
Nirudie tena kumpongeza Mbowe na Chadema kwa kuchokonoa suala la maridhiano ambapo imepelekea JPM kusalimu amri na leo hii kukutana na viongozi wa opposition camp.
Stay on this page.