Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Tafuta dawa ya kutibu negativity, ni ugonjwa unaokusumbua tena inaonekana kwa miaka kadhaa.Ninalifahamu vizuri sana hilo, hao wataalamu wanafanya kazi gani sasa kama boss wao ndio ana~act hivi? Hivi kwa anayoyafanya unaweza ukakaa na kusema ana wataalamu waliosa wanamshauri? Yaweza kua wanamshauri lakini hataki kufuata ushauri wao.
Inabidi ujue kua kusoma sana sio kua na maarifa mengi, unaweza ukawa unasoma kitu kimoja tu, wao wamesoma fani zao na mimi nimesoma ya kwangu, huwezi linganisha apples na oranges, ni two completely different items.
Na mtu kufanya kazi kwa Rais hakumfanyi superior academically hata kidogo, hiyo typical akili ya mtanzania unayoongelea naona wewe ndio mtumwa.