beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais Magufuli ameivunja Halmashauri hiyo na kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuanzia leo Februari 24, 2021
Ameipandisha hadhi Halmashauri hiyo kwa Mamlaka aliyonayo chini ya Kifungu cha 5(1) cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) Sura ya 288
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa Nchi - TAMISEMI, taratibu nyingine za kisheria ikiwemo kuhamisha shughuli za Halmashauri ya Jiji ya Dar iliyovunjwa zinakamilishwa
Ameipandisha hadhi Halmashauri hiyo kwa Mamlaka aliyonayo chini ya Kifungu cha 5(1) cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) Sura ya 288
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa Nchi - TAMISEMI, taratibu nyingine za kisheria ikiwemo kuhamisha shughuli za Halmashauri ya Jiji ya Dar iliyovunjwa zinakamilishwa