Hata rombo wanaopeleka wake zao kutombewa kenyaWachaga wana maendeleo kitamboooo hawana shida ndio maana ripoti ya nbs inasema 90% ya Wana kilimanjaro wananchi Wana maisha Bora
Maisha duni yapo lake zone Soma ripotiView attachment 1155006
Wilaya mbili Dar ni raia milioni mbili ongezea na Udogo wa Dar(Dar inaingia mara tano ili kufikia ukubwa wa wilaya moja), na Dar ndio hub ya biashara hapa TZ, ipo bandari pale pia lipo soko la Africa mashariki la Kariakoo etcDaraja la kigamboni limeunganisha wilaya tatu?
Nilieleweshwa mkuu kuwa daraja critical mno kwa kanda ya ziwa nikaelewaWe nawe .
Mbona watu wa kagera,musoma, mwanza geita shinyanga kigoma na mikoa yote ya magharibi hupita hapo busisi
Of course mkuu, mi nilikuwa nimechomekea tuAt least ungesema hospitali, mavyuo tunayo mengi, labda kuyaboresha tu. Hospital ni tatizo sana maeneo mengi Nchini.
Wapuuzi kama wapige block tuWatu design yako huwa wananifanya nipaone JF pabaya maana mara nyingi mnaleta au kupost vitu kwa utofauti wenu wa kiitikadi mnakera sana
Kweli mkuuNaona hujawahi kupita hapo
Kwa taarifa yako ndio kiungo mhimu cha ukanda wa ziwa na mwanza ambayo ndio centre zone
Magari yote ya mwanza to Geita, Bukoba Kampala zote zinapita hapo
Fanya utembelee hata mara moja uone ambulance zinavyopanga foleni zikiwa na wagonjwa ndani labda utaona umhimu wake
Hilo daraja ni mhimu kuliko hata daraja la nyerere kigamboni
Dah
Aisee hiyo pesa inaweza jenga vyuo vikuu saba vikubwa kabisa halafu inatumika kuunganisha wilaya mbili !
We sema la gharama gani linastahili kujengwa hapo maana bil700 inaonekana ndo hoja yako kwa namna ulivyoisuka sentensi yako.Quote "Abdallah Atiki alisema vivuko vya Mv Mwanza na Mv Misungwi husafirisha kati ya abiria 6,500 hadi 8,000 na magari 730 kwa siku." Unquote
Jee Daraja litakalo gharimu Billion 700, ni stahiki kujengwa kama wasafiri kwa siku ni 8000 na magari 730?
Ndio maana wafadhili wamegoma kuufadhil mradi huu. Mheshimiwa Raisi analazimisha mambo bila kuangalia faida na hasara
Kwa coment hii kwanini usinhejiita masaburi tu?Dah
Aisee hiyo pesa inaweza jenga vyuo vikuu saba vikubwa kabisa halafu inatumika kuunganisha wilaya mbili !
Kuna mikoa imetekelezwa na serikali hii. Kwanini pesa ya wananchi inatumika upande mmoja tu wa nchi ?Wachaga watapinga
Ni jambo jema lakini wagonjwa hawafanyi hilo liwe muhimu. Kwani ikijengwa hosp huo upande wenye shida huoni itasaidia kuokoa hayo maisha badala ya hizo safari tena za gari.Naona hujawahi kupita hapo
Kwa taarifa yako ndio kiungo mhimu cha ukanda wa ziwa na mwanza ambayo ndio centre zone
Magari yote ya mwanza to Geita, Bukoba Kampala zote zinapita hapo
Fanya utembelee hata mara moja uone ambulance zinavyopanga foleni zikiwa na wagonjwa ndani labda utaona umhimu wake
Hilo daraja ni mhimu kuliko hata daraja la nyerere kigamboni
HOW CAN WE INCREASE MINERAL PRODUCTION THROUGH THAT BRIDGE? Jman tunatoa porojo sana.Ni muhimu sana hilo daraja na hasa kiunganishi kati ya mkoa wa Mwanza na mikoa ya Kagera & Geita +Uganda +Maziwa Makuu.Tatizo kubwa hapo ni kwamba hivyo vivuko siyo reliable sana kuna wakati kinakuwa kimoja na magari ni mengi sana unaweza kusubiri hadi dakika Zaidi ya 60 (kama una gari) ukisubiri kuvuka.Kuvuka ng'ambo moja hadi nyingine ni dk 30 hivi.Kuna issues kadhaa hapo za kiuchumi e.g
(a)Mkoa wa Geita unaongoza kwa uzalishaji wa dhahabu nchini kwa migodi mikubwa,ya kati na midogo,kuna movements sana za Geita-Mwanza-Geita.Serikali inataka Sekta ya madini ichangie 10% kwenye GDP badala ya 4.2% ya sasa,nk,nk...
(b)Ni barabara kuu ya Mwanza-Kigali,Bujumbura,Congo DR (Mashariki) wafanyabiashara wanapeleka samaki maarufu kama mapanki huko,nk!.Kuna Kampala-Mwanza Pia unaweza kutoka eneo la maziwa makuu ukapita mwanza hadi Kisumu huko nk.
(c) Mkoa wa Kagera pia unaitegemea hiyo barabara,maji peke yake hayatoshi!!
Huu sasa uchochezi MtakatifuWalizungushe lifike hadi chato