Rais Magufuli aingilia uhuru wa Mahakama, aagiza Jaji Mkuu amalize kesi za kodi Serikali ipate hela zake mapema

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Kesi za kodi ambazo zipo katika mahakama mbalimbali nchini, zina thamani ya TZS 4.4 trilioni. Rais Dkt @MagufuliJP amemsihi Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma kufanya itakavyowezekana ili kesi hizi zikamilike na serikali iweze kupata stahiki zake.

Sasa haoa haingii mahakama kufanya maamuzi? Muhimili wa mahakama inaingiliwa watu kimyaaa
 
Kesi za kodi ambazo zipo katika mahakama mbalimbali nchini, zina thamani ya TZS 4.4 trilioni. Rais Dkt @MagufuliJP amemsihi Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma kufanya itakavyowezekana ili kesi hizi zikamilike na serikali iweze kupata stahiki zake.

Sasa haoa haingii mahakama kufanya maamuzi? Muhimili wa mahakama inaingiliwa watu kimyaaa

Kwani serikali itashinda hizo kesi zote na kupata hiyo fedha yote?
 
Hizo ni tafsiri zisizo na akili. Duniani kote mwenye pesa ndo mwenye nguvu. Serikali ndo inayowalipa majaj, ndo inayoongoza nchi so obvously serikali ndo mhimili kiongozi, japo huwa haisemwi hivyo. Kwa vyovyote vile lazima rais awe na sauti. Kwanza jaji mkuu ni mteule wa rais so indirect ni mtu wa rais na lazima rais ateue mtu ambaye ana influence naye.pia sioni kosa rais kuhimiza kesi ziishe mapema
 
Mhimili huu wa mahakama umeyumba awamu ya tano kwa kuingiliwa maamuzi yake na huyo malaika kiongozi
 
Hizo ni tafsiri zisizo na akili. Duniani kote mwenye pesa ndo mwenye nguvu. Serikali ndo inayowalipa majaj, ndo inayoongoza nchi so obvously serikali ndo mhimili kiongozi, japo huwa haisemwi hivyo. Kwa vyovyote vile lazima rais awe na sauti. Kwanza jaji mkuu ni mteule wa rais so indirect ni mtu wa rais na lazima rais ateue mtu ambaye ana influence naye.pia sioni kosa rais kuhimiza kesi ziishe mapema
Shule ulienda kusomea ujinga na katiba inasemaje na sheria?
 
Kesi za kodi ambazo zipo katika mahakama mbalimbali nchini, zina thamani ya TZS 4.4 trilioni. Rais Dkt @MagufuliJP amemsihi Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma kufanya itakavyowezekana ili kesi hizi zikamilike na serikali iweze kupata stahiki zake.

Sasa haoa haingii mahakama kufanya maamuzi? Muhimili wa mahakama inaingiliwa watu kimyaaa
Ina maana ana uhakika serikali itashinda! Na huyu Juma amekaa kihasara hasara!
 
Watu wa chadema akili zako afadhali ya kamba kochi..akikaa kimya madhara yakitokea mnasema anajua na anahusika na hilo..akiongea mnasema anaingilia mihimili mingine..kwani hata hivyo hiyo mihili nguzo yake ni nani?? Je akiiacha hiyo mihimili kama mnavyotaka kuipimisha nguvu na rais itaweza kusimama yenyewe??
 
Kwa maana nyingine indirect kaagiza serikali ishinde
Na huyu Jaji kama subordinate wa Executive, whiel he is not supposed to be! hasara tupu! Ile aliyofanya kumkaimisha ilimpunguzia kitu kichwani, tena nut kubwa ililegezwa vibaya sana, inayoshikilia maamuzi ya nguvu ilishalegezwa!
 
Kesi za kodi ambazo zipo katika mahakama mbalimbali nchini, zina thamani ya TZS 4.4 trilioni. Rais Dkt @MagufuliJP amemsihi Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma kufanya itakavyowezekana ili kesi hizi zikamilike na serikali iweze kupata stahiki zake.

Sasa haoa haingii mahakama kufanya maamuzi? Muhimili wa mahakama inaingiliwa watu kimyaaa
Ni kama maigizo ya bongo movies
 
Mahakama ni chombo cha haki,sio chombo cha kusaidia serikali kupata mapato ikitokea mahakama ikaamuru serikali kuwalipa baadhi ya wafanya biashara fidia ,he watalipwa?,kwa mwendo huu watatapeliwa?
 
Piga makofi,hiyo ndiyo sawa,maana haya yalisemwa na watu,yakapigwa kwa hoja tete kuwa acheni watu wafanye kazi,leo hii mnalalamika nini? Mzee piga kazi ,hao ni abiria ,kawaida ya abiria ni kulakamikia mwendo, sasa weka soeed 180
 
Kesi za kodi ambazo zipo katika mahakama mbalimbali nchini, zina thamani ya TZS 4.4 trilioni. Rais Dkt @MagufuliJP amemsihi Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma kufanya itakavyowezekana ili kesi hizi zikamilike na serikali iweze kupata stahiki zake.

Sasa haoa haingii mahakama kufanya maamuzi? Muhimili wa mahakama inaingiliwa watu kimyaaa
Shida ni kwamba mapenzi ya kisiasa yamewafanya msahau mamlaka ya mtu kua Rais mkadhani ni kitu kidogo
 
Kesi za kodi ambazo zipo katika mahakama mbalimbali nchini, zina thamani ya TZS 4.4 trilioni. Rais Dkt @MagufuliJP amemsihi Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma kufanya itakavyowezekana ili kesi hizi zikamilike na serikali iweze kupata stahiki zake.

Sasa haoa haingii mahakama kufanya maamuzi? Muhimili wa mahakama inaingiliwa watu kimyaaa
Enzi zile mbazunguka na list of shame na escrow kutaka Rais akamate na kuwapeleka mahakamani watuhumiwa mlimaanisha kuwa utashi wa kisiasa ni muhimu katika kupambana na ufisadi
Leo Rais kutembea kwenye maneno yenu imekua nongwa?
 
Hizo ni tafsiri zisizo na akili. Duniani kote mwenye pesa ndo mwenye nguvu. Serikali ndo inayowalipa majaj, ndo inayoongoza nchi so obvously serikali ndo mhimili kiongozi, japo huwa haisemwi hivyo. Kwa vyovyote vile lazima rais awe na sauti. Kwanza jaji mkuu ni mteule wa rais so indirect ni mtu wa rais na lazima rais ateue mtu ambaye ana influence naye.pia sioni kosa rais kuhimiza kesi ziishe mapema
Hizo ni tafsiri zako binafsi ni wanalumumba wenzako
 
Back
Top Bottom