Rais Magufuli aidha amedanganywa kuhusu Barakoa au kuna tatizo sehemu (kwa alichoongea leo Feb 21, 2021)

Halafu hata hizo dawa za asili nazo ni sayansi pia, kwani wanachofanya NIMR ni nini kama siyo sayansi?
Nakukatalia kuwa hii dawa ya asili waliotoa NIMR ya kutibu Corona kuwa ni sayansi.Nijibu maswali haya ya msingi ya kisayansi yanayohusiana na tiba.Dawa hii imejaribiwa wapi na lini ikaonyesha mafanikio ya kutibu Corona?Mafanikio hayo yalikuwa ni asilimia ngapi?
 
Mbona hamuhoji wale wa church wanaposahau mpaka wa state ulipo na kuhimiza wananchi wafanye mambo yasiyo ya ki-church bali ya kisiasa shughuli zinazo fungamana na state!? Tukisema mnafanya double standard gestures tutakosea!?
Unajua why the church inaingilia?

Principled leaders guide a nation into responsible action. And it is responsible action that honours principle, enabling others to understand and appreciate it. However, recent events in our State reveal failure on the part of our leaders-social, religious and political, to usher in the much-needed changes and progress.

The church could have played a pivotal role in addressing certain issues of the State, but most of the time, it has shied away from its responsibilities and focussed mainly on the holy agendas within its comfort zone. We have to speak and act, we have to engage government on moral terms, not on expediency or seeming interference.

Christians in the political arena have to commit themselves to honesty and integrity in all areas of their lives to show by example that following Jesus works. The church, as institution, needs to have competent lobbyists within government structures to inform and be informed about the issues of the day. This must be seen as an investment, not a costly luxury!
 
Great work, mnafanya kazi nzuri so far.

Lakini, wewe kama mwana JF ambaye upo for almost 11yrs kama active member (na unakumbuka why we exist): Unakubaliana nami kuwa kauli ya Rais leo ina makosa?

Natambua, kwa nafasi uliyo nayo inaweza kuwa ngumu kukiri, ndani ya nafsi unanielewa vema tu.

Tuseme kweli mlifanikiwa kuziondoa hizo masks mtaani, leo alikuwa anaongelea nini? Kuwa we are compromised hadi leo?!
Mkuu ukweli ni kwamba, hadi sasa mask hazijaweza kuondolewa zote mtaani. Mfano mimi hapa nina box mbili za mask za kichina ambazo nilizinunua mwaka jana April, nilitumia chache tu kabla serikali haijahimiza matumizi ya mask za kushona wenyewe. Hivyo bado kama Rais ana wajibu wa kuwakumbusha watu kuhusu hilo. Sasa hivi serikali imeweka mazingira magumu ya uingizwaji wa hizo mask, na pia inafanya misako na ukaguzi wa kushtukiza kwenye outlets zote zinazofahamika kwa wakati huu. Na kingine imewapa nguvu MSD kufanya uzalishaji mkubwa ili kuziba pengo la imported masks.
 
Barakoa zina corona,chanjo ina madhara makubwa ikiwemo kuwafanya wanawake wagumba na wanaume mazezeta, social distance ni njia ya kutuletea hofu na kufanya tusizaliane hakuna corona ni magonjwa ya kawaida ya changamoto ya kupumua(serikali).

Wataam wa afya na vyombo vya dini 'corona ipo tuchukue tahadhari za kuvaa barakoa,social distance na kufwata ushauri wa wataalam wa afya'.

Hivi hii chanjo aliyo chanjwa biden,Obama,prince Philip,Queen Elizabeth, Putin na viongozi wengine wakubwa ndiyo iyo tunaambiwa si salama?. Tujaribu kuwaza tu hyprocratic politicians kama yule anaye vaa tai ya taifa,yule prof wa jalalani ni kweli hawajapigwa chanjo hadi muda huu?.
Serikali inayomtumia Mungu kuficha uzembe wanaofanya.Kuugua Cancer,Malaria,TB,Pneumonia nk siyo tiketi ya kifo.Anawatisha wasaidizi wake kuwa kuvaa barakoa siyo kinga sahihi huku akiwaambia wachukue tahadhari bila kuzitaja.Sina uhakika kama wanaelewa watende/wanenaje sasa kuhusu uwepo/kutokuwepo kwa COVID hapa Tanzania.
Kiongozi wa nchi anawapongeza wasiovaa barakoa na kuwakatisha tamaa wanaozivaa eti hawawezi kuvaa kwa Siku nzima yenye saa 48 na zinahitajika barakoa 12 kwa Siku moja!
COVID is here and let's take precautions.
 
Nakukatalia kuwa hii dawa ya asili waliotoa NIMR ya kutibu Corona kuwa ni sayansi.Nijibu maswali haya ya kisayansi yanayohusiana na tiba:Niambie kuwa dawa hii imejaribiwa wapi na lini ikaonyesha mafanikio ya kutibu Corona?Pia niambie kuwa mafanikio hayo yalikuwa ni asilimia ngapi?
akikujibu nitagi kaka. nataka kujua research na testing iliwafanyika wapi na lini .. na results zake zilitokeaje
 
Anaharibu sana separation of church and state.

Nyerere alikuwa anaenda kanisani kila siku. Si kila Jumapili. Kila siku aliyokuwa Dar alikuwa anaanza na sala St. Peters.

Mkapa yeye alienda kanisani Jumapili alivyokuwa rais.

Sikuwahi kuwasikia hawa wakisimama mbele kanisani kutoa hotuba za kisiasa.

Walijua kitu kinaitwa "separation of church and state".

Huyu wa sasa akiambiwa na Waislamu kwamba nchi inaongozwa na Mfumokristo atakataa?
Na sijui kwa nini wanamuacha anafanya hayo yote?
 
Simply sijaona kosa la Magufuli, bali ninachokiona ni chuki binafsi tu.
Kwa hiyo tunaomkosoa tuna chuki binafsi. Tema mate chini mkuu wangu!
2020 alikuwa Rais yeye but hii ni vita, na vita ina mbinu nyingi na ndio maana hata vifaa vya kupimia corona walivishtukia baada ya kuona matokeo yanayotoka yana mashaka. Kumbuka wakati wanashtukia vifaa, of which kipindi hicho bado vifaa vya upimaji vilikuwa vichache kupatikana hata huko wanakotengeneza, tayari kulikuwa na kontena nyingi tu za barakoa zimeingia na zikapimwa kama zimefikia viwango vya kawaida bila kujua hizo ni carier za virus.
Aaaah weweeee! So, nani alileta hizo kontena za za vifaa tiba zenye kuwa na nia ovu?

Mlitutangazia kama Taifa tumjue hasa adui yetu? Makontena tulionyeshwa?

Kama mlikaa kimya bila kuonyesha umma huu ushahidi muhimu - that never existed. Ni propaganda tu!
Ishu ya mapapai ndiyo iliyofungua macho na kujua kumbe hata barakoa zina changamoto kama ambavyo baadhi ya vifaa vya upimaji. Nadhani unajua nini kiliwapata watu wa maabara kuu ya serikali ambapo ndani yake kulikuwa na watu wa usalama wa taifa ambao kiutaratibu sisi wananchi haturuhusiwi kisheria kujua wamechukuliwa hatua gani.
Again, hii issue ya maabara nikifunguka ninachojua utashangaa sana. Huyo mama aloondolewa kwenye nafasi hiyo yuko wapi? Kwanini anaendelea kulipwa maslahi yake vilevile? Kwanini haachwi aondoke nchini? Kwanini alisimamishwa akiwa mwenyewe mgonjwa?

Well, NANI zaidi alishiriki katika upumaji wa mapapai (nje ya Govt) ambaye wananchi tunaweza ambiwa alikuwepo pia, mfano ile task-force ya COVID iliyokuwa na WHO ndani na wadau kadhaa.

Matokeo ya vipimo hivyo hayakutakiwa kutolewa kisiasa, wangekuja out clean na kama ni kwei, WHO local office ingelazimishwa kukiri kuwa something was totally wrong na vipimo vile.

Niwie radhi, tunaohoji ni kwakuwa tuko concerned sana. Tumeshapoteza ndugu zetu! Si chuki kama udhaniavyo. Sikuombei yakufike, ila yasikie kwa mtu tu
 
Wakuu,

Nimemsikiliza Rais Magufuli akiwa anaongea leo kanisani. Nimeshtuka, Rais anaongea kama layman kabisa. Hii ni hatari kwa Usalama wa Taifa kwa mtu ambaye amepewa dhamana ya juu kabisa hapa nchini.

Rais ni Comforter-in-Chief hivyo kama mfariji mkuu wa Taifa ana mamlaka makubwa aliyobebeshwa na hili inaelekea Magufuli analisahau sana. Huwezi toka huko na kuanza kuwambia watanzania eti “Kufa tutakufa tu”.

Rais ni kama BABA katika familia, na kwa Taifa yeye anasimama kama kichwa cha familia. Huwezi kuwa baba bora ukawa unatishia watu wako (wanao, mkeo, ndugu n.k). Kama baba, unaweza kulaumiwa, unaweza kuliliwa, unaweza kupongezwa, unaweza kuumizwa na hatutarajii kuwa utaitangazia familia kuwa wakome kufanya hivyo! Utakuwa umeshindwa kutekeleza majukumu yako.

Rais ni KIUNGO katika Taifa. Unapotokea mgawanyiko, ana wajibu wa kuhakikisha watanzania wanakuwa wamoja. Hili limekuwa likionekana kuwa tofauti kwa Rais wetu huyu.

Rais anapotoa kauli, ni kauli ya Taifa si yake. Mambo mengi anayoongea Magufuli watanzania walio wengi (wanaojielewa) watakubaliana nami kuwa si yale ambayo kimataifa tungependa kiongozi wetu ayaongee kwa niaba yetu!

Msikilize:



Sasa:

1) Magufuli leo kaongea UONGO mwingi kuhusu barakoa. Alichokiongea ni matusi kwa serikali yake mwenyewe!

- Kama barakoa zilizoingizwa nchini zina virusi au hazifai; kwanini watendaji wake wameziacha ziingizwe sokoni? Anataka kutuambia kuwa TBS na TFDA hawajui kazi yao? Kwanini watendaji wakuu wa taasisi hizi bado wapo kazini?

- Tukubali kuwa tumeingiziwa barakoa zenye kuwa na virusi ambazo zitawaua watanzania: Kwanini Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, IGP na CDF bado wapo kazini? Taifa letu manake usalama wake upo hatarini. Kwa mantiki hiyo, maduka ya madawa yavamiwe mara moja na barakoa zote ziondolewe sokoni

2) Magufuli amekuwa Rais wa kwanza mimi kumuona akiwa anahubiri katika Ibada za Kanisa Katoliki. Huu ni utaratibu wa kawaida kwa wakatoliki? Halafu anawachamba viongozi wa kanisa kwa kuhimiza waumini kujilinda?

3) Rais ametangaza dawa kadhaa kama Bupiji, COVIDOL etc, anataka kuwaaminisha watanzania kuwa Sayansi nyingine haifanyi kazi tena? Kuwa watanzania wasiziamini dawa nyingine zinazotolewa hospitali tena? Haya matangazo ya dawa za asili imekuwaje hadi wasaidizi wake wamwacha hadi ataje baadhi ya dawa moja kwa moja (kwa kutaja baadhi tu)? Ana maslahi nazo? Nasikia mtu aliwahi kuwa RC wa Dar ana mkono kwenye pharmacy chain flani, na kuna tetesi kuwa yupo kwa niaba ya ‘mzee’; hii haoni inazidi kujenga hisia zisizo sahihi?

Nitarejea


Naona Mh. Rais Magufuli amekereka kuona maoni ya dunia juu ya maamuzi yake Magufuli ya jinsi ya anavyoliangalia janga hili la Covid-19.

Leo Magufuli ameamua kuwapasha wenye mawazo tofauti naye kama hawa hapa chini :

foreignpolicy.com
Is Tanzania's President More Dangerous Than the Coronavirus?

Africa’s COVID-19 Denialist-in-Chief
4 days ago — President John Magufuli declared Tanzania free of the COVID-19 pandemic last year and has maintained that stance since.

Welcome to Foreign Policy’s Africa Brief.

The highlights this week: Tanzania’s president remains silent on the extent of the COVID-19 pandemic devastating the country, garbage in Angola’s streets is a sign of growing discontent, and which African Oscar contenders to watch.


Is Tanzania’s President More Dangerous Than COVID-19?
President John Magufuli declared Tanzania free of the COVID-19 pandemic last year and has maintained that stance since; even as hospitals fill up and funerals proliferate, Magufuli and his government have continued to behave as if the country has been untouched by the pandemic.

Kenya in the north recorded nearly 103,000 infections and 1,795 deaths, while Zambia to the south has registered 69,347 cases and 951 deaths. Nearby Mauritius and Madagascar have shown that not even islands have been spared, making Tanzania’s statistics even more implausible.

On the African Union’s Centres for Disease Control and Prevention coronavirus dashboard, one of the most reliable sources for pandemic statistics on the continent, Tanzania is a blank column. Magufuli’s government has refused to release any further statistics on the pandemic, leaving citizens guessing at the extent of the public health crisis.

Grave evidence. Anecdotal evidence shows that Tanzanians have much to worry about. Tanzania’s Catholic Church spoke up this month, begging its followers to wear masks and protect themselves as the country fails to outline a strategy. The Tanzania Episcopal Conference told BBC Swahili that it had noticed a rise in funeral services in cities, carrying out daily masses.

Bloomberg reported that seven major hospitals in Dar es Salaam had to turn patients away because they were inundated in recent weeks. Their intensive care units were at capacity, while beds, oxygen, and respirators were all in short supply. An exasperated lawmaker in Magufuli’s party, Zacharia Issay, urged the government to break its silence on the pandemic, telling parliament: “I am tired of going to burials.”

Dangerous misinformation. When the government has broken its silence, it has arguably been as dangerous as the virus itself. Magufuli’s cabinet members have reportedly mocked mask-wearing and criticized neighboring countries for imposing lockdown measures.

In an embarrassing televised display this month, Health Minister Dorothy Gwajima gave a demonstration on how to mix a smoothie of natural ingredients to boost the immune system and avoid diseases like COVID-19. Wrapping a scarf over her head, she demonstrated how Tanzanians could use herbal steaming as a remedy for respiratory infections. She also told the press that the government had no plans to procure vaccines.

Stoking fears. The health minister is taking her cues from Magufuli, who has also created suspicion about vaccines. Positioning himself as a champion against Western imperialism, Magufuli implied that Tanzanians were being used as guinea pigs for dangerous, untested vaccines. Even after being chastised by the World Health Organization, Magufuli would not walk back his comments.

After eight months of insisting that there were no COVID-19 infections in his country—and after Denmark reported that two of its citizens tested positive for the variant after traveling to Tanzania—Magufuli finally acknowledged the virus’s ongoing presence this month. He blamed Tanzanians who traveled abroad for bringing the virus...

Magufuli has repeatedly turned to religion rather than science, saying God will protect his country. It’s a refrain he has used before to suppress critics and walk back reproductive rights. Indeed, Magufuli has repeatedly relied on faith and fears of a Western devil to further entrench his increasingly authoritarian regime—replacing policy with a cult of personality. This time, however, his style of governance is likely costing thousands of Tanzanian lives

Read more : Africa’s COVID-19 Denialist-in-Chief
 
Let’s assume unasema ukweli na sisi tunaoohoji ndo hatujielewi:

1) Mwaka jana (2020) ni NANI alikuwa Rais wa Tanzania? Ilikuwaje Taifa likafanyiwa hujuma hii bila kushtukiwa? Usalama wetu kama Taifa ulikuwa compromised? Nani hasa walizileta? Walichukuliwa hatua gani na umma ulijulishwa?

2) Kama Sept 2020 (unavyodai) zilizalishwa masks za kutosha, kwanini leo aongelee masuala ambayo yamepitwa na wakati? Si hazipo hizo? Kwanini aongelee kisichokuwepo? Na, kwanini wakati wa kampeni alikuwa anadai “Tumeimaliza Corona nchini mwetu” hadi baadhi ya maigizo yakafanywa na kanisa flani kutoa certificate ya ushindi dhidi ya Corona?

Hapa umeamua kusimama hivi, ni haki yako. Lakini, umeelewa nilikuwa namaanisha nini. So, TZ mna mpango wa kuondoa dawa za kemikali au nazo zitaendelea kuwepo sokoni?


Ukiwa Rais, ukiamua KUTAJA mfano dawa au bidhaa - taja zote. Kataja mbili, watamtumia sauti yake na video for marketing. Wrong!

BTW, jifunzeni kukosolewa kwa nia ya kujenga. Yeyote anayewakosoa mnamwangalia kwa jicho la chuki tu. Tunajenga Tanzania moja mkuu!

The approach was totally wrong. Nafasi ya Rais msiichukulie poa, come again. Think about it!

Nashauri: Fikiria nafasi ya Rais kama Mfariji Mkuu wa Taifa, utaelewa. Hapo bado amechemka! He needs to know his limits and his obligations. Bahati mbaya huenda unanisoma ukinifikiria kama nisiyemtakia mema Magufuli!

Hahaha, mkuu nadhani hujui unayeongea naye ni nani. Nalijua Kanisa vema! Simply - change the approach. Iheshimuni madhabahu
Tuzo kutoka TAG
 

Attachments

  • IMG_20210215_140142.jpg
    IMG_20210215_140142.jpg
    128.3 KB · Views: 1
Mkuu ukweli ni kwamba, hadi sasa mask hazijaweza kuondolewa zote mtaani. Mfano mimi hapa nina box mbili za mask za kichina ambazo nilizinunua mwaka jana April, nilitumia chache tu kabla serikali haijahimiza matumizi ya mask za kushona wenyewe. Hivyo bado kama Rais ana wajibu wa kuwakumbusha watu kuhusu hilo.
Sasa, hapa hata wewe unawachongea TISS, JWTZ na Polisi kuwa wote wameshindwa kulinda mipaka yetu.

Kuwa, tuliowapa dhamana wameshindwa kutulinda?

Halafu, umetunza hadi leo masks zenye virus? Ulipozitumia ulipata maambukizi?
Sasa hivi serikali imeweka mazingira magumu ya uingizwaji wa hizo mask, na pia inafanya misako na ukaguzi wa kushtukiza kwenye outlets zote zinazofahamika kwa wakati huu. Na kingine imewapa nguvu MSD kufanya uzalishaji mkubwa ili kuziba pengo la imported masks.
Yaani, sidhani mnatakiwa kuweka “mazingira magumu” hapana - nashauri msifanye kazi katika isolation.

Mtaonekana kuwa Serikali KATILI au KOROFI au KANDAMIZI wakati ni rahisi sana kufanya hivi kwa kushirikiana na wadau. Stakeholders washirikishwe na serikali ifanye kazi ya ku-oversee.

Kingine: Watanzania hawana chuki, wanaona kuna jambo haliko sawa ndo maana wanatoa maoni haya
 
Back
Top Bottom