Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,834
Mungu wa kobiri siyo?Magufuli ni chaguo la Mungu na wana Kagera ....
Mungu wa kobiri siyo?Magufuli ni chaguo la Mungu na wana Kagera ....
Magufuli ni chaguo la Mungu na wana Kagera ....
Naona yanajirudia tu yale yale ya "hatutajenga nyumba za wananchi, watu wasijinufaishe na misaada. Sijui nimekaa kwenye konstiraksheni indasitiry kwa zaidi ya miaka 20. Sijui hakuna nchi yoyote duniani serikali ikaanza kujenga nyumba za wananchi kwenye majanga.. Naona amerudi kwenye majizi na mafisadi
Namuacha aendelee kuongea mimi naambaa ambaa kama mwewe!
english ya engineers wa UDSm nini?sheer irrelavant
Umemuona akimkamata lema? Na kama tafsiri yako mtu yeyote anayekamatwa na askari basi kakamatwa na Rais basi una matatizomwambie amwache Lema ukali wake apeleke chato nchi inaoongozwa kwa sheria sio matamko
Zitajenga miundombinu ya umma.So zile bilioni 16 zinajenga sekondari tu...maajabu ambayo hayahitaji watalii
Habari wako,
Tuwe pamoja kujuzana yanayojiri Bukoba ambapo Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania anahutubia wakazi wa Bukoba na watanzania kwa ujumla.
=====
Magufuli: Cement imechangwa zaidi ya 30,600 na mabati zaidi 31,000. Wananchi wameshaanza kupewa, wengine wamejengea na wengine wameuza.
Kamati ya maafa Mkae na mfahamu kila senti imeenda wapi, kuna pesa hainekani imetumika wapi.
Magufuli: Hatutajenga nyumba za wananchi, hakuna sehemu yeyete duniani tetemeko likitokea, serikali inajenga nyumba za wananchi. Nyumba zimebomoka zaidi ya 2,000
Lipa kifurushi achana na chanel ya bure hiyo au chama hakitoi posho siku hiziTbc mbona mnazingua
Viwanja vya mipira vya ccm pia virudi serikaliniShule ya chama imerudishwa serikalini. (Shule ya wazazi) Wanafunzi wote waingie kwenye serikali.
haha. Hii nchi imekuwa rahisi kudananya kila mtu anataka danganya tuu wala hakuna haja ya kujiuliza.Mbona uyu mzee ni muongo sana? Kila siku Israel inajenga nyumba yeye anasema amna nchi duniani?
Kwahiyo bila hela za misaada miundombinu isingejengwa?Zitajenga miundombinu ya umma.
Ukakasi unatoka wapi?si kubadili registration papers tu?na hao walimu wanahamia Tamisemi kutoka ccm?au ulitaka uajiriwe wewe?sekondari ya Wazazi kuwa ya serikali ina kaukakasi, ingawa ni safi
wanafunzi wote watakuwa government, Shule itakuwa ya governemnt, Walimu duh balaa hilo
Mkuu sana kashatoa amri halali!Kachukua maamuzi magumu ya kuibadilisha umiliki Shule ya CCM na kuwa ya serikali na kuwapa ajira walimu wote waliokuwa wanafundisha hapo....jeshi LA MTU mmoja